Recent content by Kitukula

  1. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Makabila na mahusaiano

    Vijana wengi kwenye familia wameshaakanywa mwanamke wa kabila flani acha hawana tabia nzuri lakini awajasema endapo ukimpata ishi nae hivi swali endapo mtu kadondokea sasa huko unaweza kumshauri nini?
  2. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume asiyetumia kilevi chochote, havuti sigara wala hashabikii michezo namuona kama ana mapungufu

    Tukupe udongo uumbe wako
  3. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ukitaka kumsahau mtu uliyempenda sana unafanyaje?

    Kubaliana na hali teali msimu umeisha mambo mengine ya endeleee
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini wafanyabiashara wa kupima mkaa karibu wote vipimo vyao vya makopo ya bati yamekandamizwa katikati?

    Mimi ni mmoja wa wanaonunua mkaa kwa kupimiwa lkn kila nitakapoenda nakuta makopo yao yamekandamizwa katikati ni kwanini?
  5. K

    JamiiForums Tanzania SoC04 Maendeleo katika elimu

    Sekta ya elimu ni sehemu kubwa katika maendeleo ya taifa, elimu inasaidia kwa asilimia kubwa maendeleo ya taifa katika uongozaji na jpandaji wa uchumi. Elimu yetu kwakiasi kikubwa imekuwa ni elimu ya mtu kujinasua katika ngazi ya kifamilia na huku asilimia chache ikitumika katika maendeleo ya...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Afya ya gari

    Shukrani kaka
  7. K

    JamiiForums Tanzania Afya ya gari

    Hivi mtu unapotaka kusafiri na gari yako (private car ) kipi unatakakiwa ukizingatie (service gani ni ya muhimu kwa safari ndefu )
Back
Top Bottom