Utakufa masikini kwa fikra zako za kiswaili, uyo anayekulipa kuandika hivi mwambie akuongezee. Kwanini msilete proof mnazoongelea kila siku? Mmeshindwa na mafuriko mnaakimbilia maneno, hata kwenye kanga yapo. Hii ndio safari ya matumaini
Inashtua sana kijana kama wewe kutoa maneno kama hayo, natumaini wote wanaongia JF wameenda shule. Uwezi kumshambulia mtu bila proof. Kubwabwaja maneno waachie waimba taarab, weka facts. Hii ndio safari ya matumaini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.