sijaelewa hawa viongozi wa awamu hii wa tatizo gani ila nadhani imesaidia kujua uhalisia wa watanzania maana tulikuwa tumejificha kwenye mwamvuli wa amani na upendo kumbe tuna tabia halisia imejificha
KWANZA:
nipo morogoro siku ya 9 leo ila nilicho kipata huko!!!
kuna mama yupo mkoa wa morogoro afisa elimu mkoa morogogoro,huyu mama anatukana hovyo walimu kwakweli huko morogoro na kejeli dharau maneno machafu yaani hana busara wala hekima kabisaaa ya uongozi hana ushirikianao na anao...
au ndio maana tinted ziliruhusiwa eee!!! maana nakumbuka lilitoka tamko la kuzizuia lika kanushwa flan iv!!maana tuna ambiwa gari ilikuwa tinted najiuliza tu ..
Nawaza kwa mawazo mapana sana tena sana na ninaumia moyo sana , pamoja na UCCM wangu wa damu kabisa lakin nadiriki kusema hali hii haimpendezi mungu ,TUNALITIA LAANA NA NAJISI TAIFA LENYE BARAKA .
ila kuna watu wana mungu wao aisee matundu ya risasi hapo kwenye gari yapo kama 20 hivi mweeeeee!! mwe! mwe!! kweli mungu si maulidi na walio shiriki kutenda thambi hii mungu waumbue kwa wakati wako tena waanike peupeeeee,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.