Kila mwaka ofisi ya CAG imekuwa inabainisha ufujajii wa kutisha wa fedha za umma katika taasisi mbali mbali za umma.
Pamoja na kuwasilishwaa bungeni bado utekelezajii wake umekuwaa mdogoo sanaaaaaa..
Jee ni bora kutokuendeleaa kuiwasilishaa katika vikao vya bunge?
Kitendo cha jana bungeni cha mbunge wa Arumeru magharibi Mh Ole Medeye kumtisha mbunge wa Arusha Mh Lema kwamba 2015 atagombea ubunge Arusha Mjini ni kuhahahaa.
Tangu atemwe katika baraza la mawaziri mzee huyuu ameonyesha kuweweseka na mpaka sasa hajakubaliana na kutoswa huko.
Kutishia...
Tumeshuhudia kupitia mjadala wa bunge la bajeti, Mbunge wa Kigoma Kusini, Davidi Kafulila akitoa tuhuma nzito za ulaji mwingine wa fedha za umma kupitia Benki kuu unaohusisha malipo tata ya mauzo ya kampuni ya IPTL kwa Pan African Energy.
Je jambo hilii litaendeleaaa kupitaa kimyaa tuuu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.