Ni kweli kabisa tumemkumbuka sshemeji yetu JK, mtu wa tabasamu, roho nyeupe, mwenye kujali utu na juhudi za watumishi wa umma, akiahidi anatekeleza, kama haiwezekani anakupa sababu
Ni miaka miwili sasa hatupandi madaraja, hakuna annual increment, matisho kwa watawala, kila anayetaka aonekane na...