Recent content by kitabuchetu

  1. K

    JamiiForums Tanzania Malipo ya kujisomesha

    Jamani anaomba kujua ,halmshauri yetu imetoa ruhusaza watu kwenda masomoni kwa mujibu wa barua zao za kuwekwa kwenye mpango lakini cha kushangaza wote wamepewa barua inayo sema umeruhusiwa kusoma akwa gharama yako mwenyewe na halmashauri haitahusika na gharama za masomo yako, na mimi...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Jamani naomben msaada wa dhati,matokeo yangu haya apa

    kijana anagalia kuwa maiasha ya kitaa ymekaaje kisha rudisha mawazo katika maisha kuso ma kisha ndiyo uende shule maana unaweza tena ukarudia shule halafu ukashindwa kuwa na maumivu kisha ukasoma kwa kujiamini kama mwanzo halafu ukabakia kukilaumu wizara ya elimu kwamba labda imekufelish...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Udhulumati wilaya ya Sumbawanga

    Halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga imefanya kitendo kibaya kwa walimu wa ajira ya mwaka 2010 grade iiiA , imeletewa walaka wa kuwalipa walimu fedha yao ya nauli na mizigo lakini haikuwalipa ,baada ya walimu hao kupata walaka huo na kuupeleka mahali pale na kudai haki yao walicho ambiwa nikuwa...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rwanda wametuzidi katika hili?

    Acheni ushamba Wa kutaja chama ambacho tangu umekijua hujawah kuwapa msaada wowote.halafu hata muonekano wenu unasadifu uwezo wenu mdogo wa kufkiri.
Back
Top Bottom