Nadhani Wao wamechagua wao,na ninyi chagua wenu ili akasimamie,suala kila Siku kwenda mahakamani,kwa kweli chadema mnanichosha,kama vile nyie ni wababaishaji tu,wenzenu wanavunja sheria,nyie mnaimba sheria,nadhani mna matatizo pia,kikubwa
Nadhani hujui nini maana ya madhara,na sifikirii kamwe kama kweli wewe unafaham vizuri mambo ya migodi,ni vyema urudi darasani Mwl akuoneshe madhara tunayo yazungumzia!!!
Kuna kila sababu serikali kulifutilia jambo hili kabla halijaleta maafa makubwa. Wananchi wanaoishi kuzunguka mgodi wa North Mara(ACACIA) watapatwa na matatizo makubwa hivi punde kama Serikali haitachua hatua mapema.
Mgodi uko busy na unaendeleza ulipuaji wa miamba bila kujali athari kwa...
Hatuhitaji sasa shahada au stashahada,hatuhitaji tena mganga wa kienyeji kutabiri,hatuhitaji tena maono ya manabii kuona.Wananchi wanaoishi karibu na mgodi wa uchimbaji wa madini aina ya dhahabu ulioko Mara TARIME Nyamongo (acacia) wako katika hatari kubwa ya kupata maafa ya kihistoria.
Hii ni...
Ni zaidi ya miezi miwili sasa imepita tangu waziri wa Nishati na madini mh Sospeter Muhongo alipotoa maagizo kwa mgodi wa north Mara gold mine (acacial,kuwalipa fidia ya ardhi yao wananchi wanaozunguka mgodi huo,kamati iliyoundwa na mh Muhongo ilipendekeza ifikapo mnamo tarehe 30/09/2016 mgodi...
Nitamwambia ahadi yake aliyoitoa Nyamongo kuhusu malipo ya fidia tarehe 11/09/2016 alipokuwa anapita kuomba ridhaa ya wananchi wa Nyamongo kuwawakilisha ikulu ya magogoni,aliwambia wananchi wa Nyamongo kuwa,sitawavumilia wawekezaji wasiojali wananchi, nikiingia ikulu tu itakapofika mwezi wa...
Ni nani anawatesa na kuwadhurumu haki watu wa Nyamongo,au viongozi hawalioni hili? Mgodi unavunja kanuni,taratibu na sheria za nchi viongozi wapo wanashuhudia
Ni muda sasa mgodi wa North Mara ulipoanza kuchimba madini katika eneo la Nyamongo, kabla ya shughuli za mgodi huo miaka yote hapakuhapakuwepo na malalamiko yoyote ya watu kubabuka ngozi na hata kupoteza maisha.
Toka mgodi huo uanze kazi rasmi ya uchimbaji na uchenjuaji wa dhahabu kwa kutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.