Ni mtandao gani unafaa kwa internet

Ni mtandao gani unafaa kwa internet

Mkuu iyo application ya kucheki Mpira live inaitwaje? Msaada mkuu ..afu icho kifurushi unaeza chek muv online au ku download?
Nimemjib mshikaji aliyesema icho kifurushi kinaka saa 1 tu kimeisha labda kwa kuchat ndo nikamwambia nimetumia kuangalia Live Game mbili za Mpira pamoja na kuchat lkn bado hakijaisha Mb ka 1510 zimebaki nasubiria leo tena usiku nichek Uefa Psg vs Arsenal , sbb kwangu mm Voda inaonyesha bila ku buffer kuliko Halotel
 
Back
Top Bottom