Recent content by kisu2

  1. K

    JamiiForums Tanzania Msaada wa sheria wana jf

    Habari zenu G-thinkers? naombeni mtu yeyote aliye na documents iliyobeba sheria za barabaran za nchini Tanzania anisaidie jamani, i real need it. waweza kuni PM au kuiweka hapa moja kwa moja. Natanguliza shukran zangu za dhati
  2. K

    JamiiForums Tanzania Sheria za barabaran tanzania-please help

    wana jf kwanza polen kwa msiba uliotufika wa ndugu yetu sajuki. Kwa heshima na taadhma naomba mtu yeyote aliye na andiko/dodoso lenye sheria za barabaran anisaidie kwani nahitaji kuzisoma ili napokuwa barabaran niwe well informed. Asanten natumai nitasaidiwa. Nawatakien usiku mwema!
  3. K

    JamiiForums Tanzania Nape Nnauye na John Mnyika yupi mwanasisa bora kwa 2012?

    Mnyika is a talented leader beyond compare, nape mpambanishen na Mwigulu
  4. K

    JamiiForums Tanzania Re: Gari ya kununua

    Wana jf habarin za x-mass! natafuta gari used ya kununua ambayo iko na khali nzuri, isiwe zaidi ya cc 1500. kipaumbele kinatolewa kwa magari ya toyota. kwa yeyote atakae wiwa kunisaidia aniPM kwa ajili ya mawasiliano zaidi. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu nyote!
Back
Top Bottom