Ntale Wi Isumbi
JF-Expert Member
- Apr 4, 2012
- 480
- 127
Unalinganisha pumba (Nape) na mchele (Mnyika), kisa vyote vinatokana na mpunga, au kwa muktadha huu kwa sababu wote ni wanasiasa. Nasubiri matokeo ya poll!
kama kichwa cha habari kilivyojieleza hebu tuchangie wanajamvi.
laiti NAPE angegombea ubungo mnyika angeusikia ubunge redioniNape namfananisha na katibu kata wa magamba
Mnyika JohnNa wewe binafsi unaona nani bora?