kwa wale waliopata scholar ya algeria majina tayari yasharudi,kama umefanikiwa kupata ncheki
0714629417..ili tujuane na nikupe info.zaidi ya maandalizi....majina yamebandikwa wizarani kwenye notice board..
hio nimeisoma kaka,,bt maana ya ile data base error ni kwamba bado haijaruhusiwa rasmi..ndio maana hakuna sehem wameandika make a third selection kwenye profile yako...Mi nafanya kusaidia tu,sihusiki kwenye hizi selections.
WANAJAMII I'M SO MUCH THANKFUL FOR THE INFO.CONCERNING CIVIL & COMP,,,
NADHANI SSA HIVI NI MIMI KUCHANGANUA KUTOKANA NA UELEWA WANGU KWA JINSI KILA MMOJA WENU ALIVOELEZEA..
THENX ALOT FOR THE HEART OF HELPING & GOOD ADVICE.
GOD BLESS YOU WAKUU.:amen:
Alaf me bado najiuliza,,kama huko algeria nikubaya,kwanni hao walioko huko ndo wanakuwa wakwanza kuwainfluence ndugu zao kuwa nao waende??..does it mean nao wakahustle au kuna beyond that?
DAAH..MMENIKATISHA TAMAA SANA NDUGU,,MIMI PIA NIMECHAGULIWA ALGERIA Maths & comp eng.NA NDO NIPO KWENYE HARAKATI ZA KUJIANDAA KWENDA...BUT NIMECHAGULIWA PIA UDISM CIVIL ENG,,SO NAOMBENI MWENYE UHAKIKA NA HII ISSUE ANSAIDIE KUFANYA MAAMUZI MAZURI KWA SABAB KILA MTU ANAZUNGUMZA LA WAKE KUHUSU...
habari wanajamii forum...mimi nimechaguliwa scholarship ya algeria maths $ computer eng..na pia nimechaguliwa civil eng udism....naombeni mnishauri wapy pa kwenda na kwanni??,,,much love.
Mbona me nlipata hio scholar na sasa nipo dar wamenipa muda wa kutafuta passport..kikubwa ni wwe kufika wizarani ujaze form kwanza...ukiongea nao kwenye sim utakata tamaa..hakuna kitu kirahis kijana...mi ilinibid nsafir usiku kwa lori frm Arusha...so it's a matter of taking a step
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.