Recent content by kissgarage

  1. K

    Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

    Ndugu yangu pole kwa matusi ya hapa. Sijui kwanini members wengi hapa wako so naive. Mimi naungana na wewe katika hili..sijui kwanini watu wanashindwa kutuliza kichwa na ku connect dots. Anyway.kila mtu ana maoni yake
  2. K

    Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

    Daaah, samahanini wanajukwaa....ila nimesoma kisa alichokua anaandika nimekuja kukutana na habari za umauti wake. Naomba nitoe maoni yangu, na kama yuko atakayekwazika anisamehe. Kifo kinauma sana tena sana wala hakijawahi kuzoeleka. Ila....hakuna aliyefariki hapa...my guts tells me so. Narudia...
  3. K

    Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

    Ni nguvu mbili tu duniani zinazowapa wanaume jeuri. Nguvu ya pesa na nguvu ya kusimamisha uume. Kikiondoka kimojawapo au vyote ni mwisho wa kiburi chenu. Unapotumia urijali wako kumuumiza mwenza wako hebu kaa tafakari sababu kesho yetu hatuijui. Kama mke wako ni mwamiminifu, anakuheshimu na...
  4. K

    Wanawake mliodumu kwenye ndoa wafundisheni wadogo zenu wanaoachika kila kukicha

    Hongera kwa Kuleta Hongera kwa kuleta uzi huu wenye mustakabali mwema kwa jamii. Mimi ni mke na mama wa watoto 4. Nipo kwenye ndoa mwaka wa kumi na tatu 13. Tambua kwamba hakuna anayeoa au kuolewa ili aachike, hakuna. Moja kwa moja naomba nikujibu kulingana na hoja zako. 1.kila mwanamke...
  5. K

    Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

    Whoever did it atakua mtu au watu ambao watanufaika na kutokuwepo kwa mama na wanae wa pekee..boyfriend hawezi kunufaika na chochote...mlinzi kama kweli alikua anafokewa na manyanyaso angewaibia siku moja na kutokomea ili kuwakomesha..
  6. K

    Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

    Ndugu yangu unakwepa sana suala la bi mkubwa. 1. Je anafahamu kua una mtu nje 2. Je mko katika hali gani kwa wakati huu
  7. K

    Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

    Hsta mimi nimehisi hivyo kwakweli..anakwepa sana kila swali analoulizwa kuhusu bi mkubwa...ni dhahiri hawako katika good terms ndio maana aliweza kuwekeza muda na mali kwa bi mdogo..hakuna mwanamke mwenye akili timamu asiyajue mahusiano ya nje ya mume kwa miaka yote hiyo
  8. K

    The Ugly truth: Tunaishi kwenye dunia iliyojaa watu wenye ubinafsi wa kihisia

    True love na thamani ya upendo wa penzi haiexist kabisa..especialy in africa..najua mtanishambulia lakini wachache wenye akili wataelewa ninachoongea...sababu wanaume wa kiafrica kwa asilimia kubwa wamehalalisha michepuko kiasi kwamba mwanaume asiecheat anaitwa mgonjwa au hana hela...seriously...
  9. K

    Ushuhuda kutoka kwa wanandoa waliowahi kuachana, hasa mliokuwa na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya

    Ohhhh....natamani kusikia zaidi kama hutajali..so ukaondoka mikono mitupu? Watoto mlikua nao wangapi? Are you happy now? How is he?
  10. K

    Ushuhuda kutoka kwa wanandoa waliowahi kuachana, hasa mliokuwa na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya

    Nashukuru ndugu.. Huo ni mtazamo wako..yako mengi duniani ndugu yangu
  11. K

    Ushuhuda kutoka kwa wanandoa waliowahi kuachana, hasa mliokuwa na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya

    Nashukuru sana. Je umeoa? Kama hapana nakuombea uje kupata ndoa njema..kama ndio umeoa Mungu aendelee kuwatunza na kudumisha amani yenu
  12. K

    Ushuhuda kutoka kwa wanandoa waliowahi kuachana, hasa mliokuwa na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya

    Nashukuru sana ndugu..uliyoandika ni kweli kabisa..wanajisahau kua kuna kesho ambayo wote hatuijui..
  13. K

    Ushuhuda kutoka kwa wanandoa waliowahi kuachana, hasa mliokuwa na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya

    Mi mwenyewe simuoni kama anajutia...na bado hajaacha licha ya mapito haya..hapa naona ameshakengeuka...nimelia machozi mengi sana
  14. K

    Ushuhuda kutoka kwa wanandoa waliowahi kuachana, hasa mliokuwa na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya

    Kwakweli naogopa haswa kuanza upya..idadi ya watoto nilionao na sina ajira...nakata tamaa kabisa
Back
Top Bottom