Habari Wakuu,
Ni kipindi kingine tena cha mwaka ambapo kama ilivyo ada kunakuwa na Maonesho ya Kimataifa ya Biashara maarufu kama Sabasaba.
Kupitia maonesho haya, wafanyabiashara na watoa huduma mbalimbali kwa jamii hupata nafasi ya kujinadi kwa shughuli mbalimbali wanazozifanya.
Ni ukweli...
Acha kejeli,jikite kwenye HOJA YA MSINGI. Ikiwa nimekuja juzi au kabla yako ina msaada gani katika mada niliyoileta? Basi tufanye wewe nfio uliyeanzisha mji na kujenga hilo daraja.
Ova.
Wakuu habari ya asubuhi,
Kwa Wale Wenyeji Wa Jiji La Dar Na Wanaopita Barabara Ya Morogoro Watakuwa Wanashuhudia Vijana Wengi Kiasi Wakifanya Mazoezi Ya Viungo Wengine Kama Wanapigana Ngumi Hasa Nyakati Za Asubuhi.
Swali Langu. Je, Sahihi Kwa Vijana Hao Kufanya Mazoezi Eneo Hilo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.