u spoke volumes mkuu! Huenda ana kitu cha tofauti ndani yake huyu jamaa.
kuna tofauti ya kuoa mwanamke na kuoa destiny. wakati mwingine changamoto ya kuoa au mahusiano haitokani na unayemuoa bali ulichobeba wewe muoaji as in what u carry calls for ur destiny.
mfano. Henoko kwenye biblia...
mauti as per your dream decodes utayar wako au season ya kuingia kwenye mahusiano hivyo inaanzia ndani yako kwanza kabla ya kuhusiana na mtu ndio maana ukaletewa taarifa kabla ya kilio kijacho.
wakati mwingine kama neema ya ndoa ina shida utaota uko uchi au umepoteza au kuibiwa nguo. so...
it implies Neema yKo ya Ndoa is at stake! inategemea na imani yako but whichever it is chukua muda kuombea neema yako ya ndoa.
(note: kuna tofauti kati ya ndoa na neema ya ndoa maana kuna watu wako kwenye ndoa na hawana neema ya ndoa)
pia fuatilia mwenendo wa mahusiano yako you are likely to...
Hello,
Nashukuru kwa nafasi ya kujiunga JF. Nimekuwa ndugu msomaji na mtazamaji nikielimika na kuwa mnufaika wa makala maridhawa za forums mbalimbali pasi na kuwa member rasmi.
Hopefully hii itakuwa hatua muhimu pia kunifikia na kuwafikia.
Naomba mpokee utambulisho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.