Kwa kweli sijaona point yoyote iliyozungumzwa na Zitto pamoja na Kitila zaidi ya kutafuta huruma kwa jamii husika.
Kwanza walipaswa kujibu tuhuma walizopewa na CC ya chama.
1. Je ni kweli walishiriki kwenye huo waraka?
2. Je ni kosa kikatiba?
3. Je CC ya chama wapo sahihi??
Binafsi...
Hata Jesus alisema...mkono wako mmoja ukikukosea ni afadhali uukate na jicho uling'oe kuliko kwenda Jehanam na macho mawili.
Katika maisha kuna vitu sometime inatupasa kuachana navyo siyo kwa sababu ni vibaya bali kwasababu vinatukosesha ile hatma ya maisha yetu. Hata ukiwa na marafiki kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.