nafasi uliitangaza mwenyewe sasa unalalamika nini? vacancy uliyotangaza haikua na limitation ya applicants, acha mbwembwe inawezekana unakumbushia kisela sababu hukupata any applicant!
awatoe mashemeji ila mkewe nae aanze kuchangia manunuzi labda atakuelewa! sasa hivi hachangii na wewe una uwezo kwa hiyo anaamini utanunua tu! mtest achangie kwa muda mfupi umone...ila muelewe pia yeye hawezi kulala ameshiba wadogo zake walale na njaa.
yaani kama ungekua hekima kidogo ulipoambiwa na mkewe kuwa "anatamani mumewe ampende kama anavyokupenda wewe" ungekata mawasiliano. Ila hukuona shida? unacheza na mume wa mtu!? halafu hujielewi wewe mwenyewe unampenda sema tu hujajigundua!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.