Recent content by KISESERA

  1. K

    Hapa sasa nina imani na kwa uongozi huu tumempata Rais wa Tanzania

    Amehutubia taifa, amekidhi matakwa walioenda pale na hata waliofuatilia kwenye media
  2. K

    Hapa sasa nina imani na kwa uongozi huu tumempata Rais wa Tanzania

    Kwa yeyote aliyefuatilia mkutano wa ccm mwanza nadhani atakuwa amehakikisha akuwa magufuli ndiye mshindi urais na hata uongozi bora
  3. K

    UKAWA wapata mapigo mawili ndani ya masaa 24 kabla ya uchaguzi

    Magufuli atashinda kwa asilimia nyingi sana
  4. K

    Kura za Dr. Magufuli dhidi ya Lowassa

    Ndio maana niloona ule umati (Utitiri) pale mwanza jana nilimkumbusha rafiki yangu ambaye nilimweleza juu ya kura hizi za MAGUFULI akabaki anawaza kwa nini na yeye hakuwa mwenzangu na mimi toka awali japo alinihakikishia kuwa atampigia MAGUFULI kura
  5. K

    Magufuli afunika Dar es salaam, Mwanza hapatoshi leo

    Kwa jiji la Mwanza ninalolijua mimi haijawahi kutokea mkutano kama ule. Asipotangazwa Magufuli mshindi si mnatafute duniani yatokee ya Ghalika na Nuhu
  6. K

    UKAWA wapata mapigo mawili ndani ya masaa 24 kabla ya uchaguzi

    Kwa funga kazi ile karibu mh. Rais magufuli
  7. K

    Yaliyojiri uwanja wa CCM Kirumba-Mwanza: Mkutano wa kufunga kampeni za CCM, Oktoba 24

    ​Sina haja ya kusema ni kiasi gani wananchi wameamka kuepukana na Rushwa na Ufisadi, nadhani wote mnaweza ku access internet (kwa simu, computer) naomba muangalie mikutano yote ya CCM leo ukianzia MWANZA kisha matokeo yatakapotangazwa akiwa amepata chini ya asilimia 70 ndio tujiulize kuwa...
  8. K

    Magufuli kuibuka kidedea hapo kesho aungwa mkono na Upinzani

    Magufuli ndio chaguo la watanzania
  9. K

    Magufuli kuibuka kidedea hapo kesho aungwa mkono na Upinzani

    Kwa hali iliyopo matokeo hayachexi mbali na hapa magufuli 69% lowasa 24% ana mgwira 9% . . . .
  10. K

    ITV wamekuwa hawaoneshi Mikutano ya CCM ya Kampeni

    Hapa kazi tu hata wasipoiinsha sisi kazi tu
  11. K

    Asante sana Dr. JP. Magufuli

    Hapa kazi tu. Tunataka kufunga majizi yote ndio mabadilko ya kweli yatakayoleta maendeleo
  12. K

    Uchaguzi huu ni UMOJA WA KUCHUKIA RUSHWA dhidi ya UKAWA

    Hapa kazi tu. Sisi funga majizi ndio tutakuwa na maendeleo na hayo ndio mabadiliko
  13. K

    Kardinali Pengo amkemea Lowassa

    Mwizi/fisadi/mla rushwa sio ndg yetu
  14. K

    Kardinali Pengo amkemea Lowassa

    Hapa kazi tu
  15. K

    Ni John Pombe Magufuli

    Hapa kazi tu
Back
Top Bottom