Baadhi ya watawala wanafikiri wana hatimiliki ya maisha ya wanaowachagua kwenye sanduku la kura. Utadhani watawaliwa ni kuku hivyo mda wowote wakiamua ni kuwachinja ,bora hata kuku manake ni kitoweo.
Kwa hiyo kuua ni siasa? Nani duniani aweza muumba binadamu? Siasa huleta maendeleo ya wananchi na sio mauaji.Hao FIFA pua wanaelewa kuwa siasa sio mauaji tena ya halaiki
.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.