Recent content by Kisengero

  1. K

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Kiongozi gani wa CCM mzuri? Kuna hata mmoja alikemea upotevu wa nguvu kazi tarehe 29 Oktoba 2025 hadi tarehe 3 Novemba?
  2. K

    Watanzania hawataandamana tena wameamua waishi maisha Yao

    Kuishi ni bahati, kufa ni lazima.
  3. K

    Waziri mkuu kumwakilisha Rais Samia katika mazishi ya mzee Edwin Mtei

    Kwahiyo demokrasia ndiyo iliyotokea Oktoba 29 hadi Novemba 2 mwaka 2025?
  4. K

    It was an extermination order to exterminate any human being in vicinity

    Baadhi ya watawala wanafikiri wana hatimiliki ya maisha ya wanaowachagua kwenye sanduku la kura. Utadhani watawaliwa ni kuku hivyo mda wowote wakiamua ni kuwachinja ,bora hata kuku manake ni kitoweo.
  5. K

    PostGE2025 CHADEMA walitoa sadaka ya kujimaliza Oktoba 29, hawainuki tena

    Huyu ni mbunge wa jimbo gani, mbona anaongea kama ni wa hospitali ya Mirembe?
  6. K

    Nafukua: Kwanini Oktoba 29 kulikuwa na makundi mengi yasiyo rasmi yenye silaha yakiua raia? Ina amaana asilimia kubwa ya jeshi halikuunga mkono?

    Kupindua serikali ipi? Mbona kulikuwa hakuna serikali? Kwa taarifa yako ndo tulikuwa kwenye uchaguzi wa serikali ambao pia haukufanyika.
  7. K

    Kuna hawa washenzi wanaobeza hata pongezi ya Taifa Stars

    Kwa hiyo kuua ni siasa? Nani duniani aweza muumba binadamu? Siasa huleta maendeleo ya wananchi na sio mauaji.Hao FIFA pua wanaelewa kuwa siasa sio mauaji tena ya halaiki .
  8. K

    Katibu wa Bunge: Jenista Mhagama amefariki kwa maradhi ya Moyo

    Kama m'nyenzi Mungu hajaruhusu ufe hata udungwe sindano ya sumu hufi. Kwa maana hiyo Mungu amependa afe..
  9. K

    TANZIA Jenista Mhagama, Mbunge wa Peramiho afariki dunia

    Mortuary zilijaa wafu....ushahidi ICC
  10. K

    Wakuu njooni UN tupo wengi sana

    Bro, usipokufa leo wafa hata kesho.Hamna wa kuishi milele
Back
Top Bottom