Mwigulu of all the people unamfananisha na magufuli? No, no , no. Binafsi nilikuwa na shida inayohusu kodi akiwa waziri wa fedha nikampigia simu hakupokea, nikaona labda yuko busy sana ikabidi nikamtext WhatsApp na kuambatisha vielelezo husika kuthibitisha madai yangu kwa kuwa nlishapita ngazi...
Mbona watanzania/watanganyika tuko hivi? Tuna shida mahali...unaulizwa media za nchi yetu unasema media za Chadema? Ina maana hamna uzalendo bila vyama? Ndio sababu baada ya kuangalia mambo ya maisha yetu yawe ya maendeleo tunashabikia CCM/CHADEMA na SIMBA/YANGA. Nadhani ni muda wa kubadilika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.