Recent content by Kisengero

  1. K

    JamiiForums Tanzania Leo 16 September Mahakama inaendelea kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri

    Majaji watakuwa wanajuta kuwapa summons hao kina mkunda , kesi hizi zinaamuliwa kibabe tu , thank God dunia ni kijiji otherwise ubabe ungekuwa 100%
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kuna Maiti inadaiwa kuokotwa kwenye mtaro, Mwenge Coca-Cola road mkabala na Natai Plaza ikiwa imetolewa macho

    Kwa nini lakini? Kuuana kama wanyama wa porini. Huu ni woga.... Kama vipi mfuate mbaya wako mpigane live...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Sina huruma na askari toka washiriki kuua wananchi Oktoba 29

    Kwani wanapoteka raia , kuwatesa na kuwaua wanakuwa hawajui hilo? Njaa zikufanye uue ndugu zako?HAPANA
  4. K

    JamiiForums Tanzania U'Magufuli' wa Mwigulu wawaibua Mange, Maria Sarungi na Kigogo

    Mwigulu of all the people unamfananisha na magufuli? No, no , no. Binafsi nilikuwa na shida inayohusu kodi akiwa waziri wa fedha nikampigia simu hakupokea, nikaona labda yuko busy sana ikabidi nikamtext WhatsApp na kuambatisha vielelezo husika kuthibitisha madai yangu kwa kuwa nlishapita ngazi...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Voices From Within: Nimeelezwa M/Rais Mstaafu Bal Dr. Nchimbi Yuko Salama Kwake. Ni Yeye Mwenyewe Ameamua Kutulia Kimya, Hashikiliwi, Hajazuiliwa!"

    Sasa wewe na akili yako timamu unaamini ya Mayalla au ya mzee Warioba? Marehemu Magufuli alishasema Mayalla kwao ni njaa..
  6. K

    JamiiForums Tanzania Waandishi wa Tanzania ovyo. Wanashindwa kumtafuta Nchimbi na kufanya nae mahojiano au Kwenda kwake kujua kama Yupo?

    Mbona watanzania/watanganyika tuko hivi? Tuna shida mahali...unaulizwa media za nchi yetu unasema media za Chadema? Ina maana hamna uzalendo bila vyama? Ndio sababu baada ya kuangalia mambo ya maisha yetu yawe ya maendeleo tunashabikia CCM/CHADEMA na SIMBA/YANGA. Nadhani ni muda wa kubadilika...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Peter Msigwa Amlipua Rais Samia na CCM; Asema Utawala Unatengeneza Maadui na Hofu Nchini

    Huna lolote...wewe ni chawa tu, mnyaloko wa aina gani huna msimamo?Mwamwindi alikuwa Shuja tukadhani wanyalokolo wote wanafanana.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Tunajua Dr. Nchimbi kalazimishwa kujiuzulu na hili linaweza kuwa ndio chanzo cha mpasuko mkubwa ndani ya CCM utakaomwondoa Samia madarakani

    Elewa kuwa tarehe 10 mwezi huu alikaribishwa nyumbani kwa mzee msoga ...Walichoongea..unganisha mwenyewe hizo dot
  9. K

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Fisi anavaa ngozi ya kondoo akaungane na genuine kondoo. CHADEMA muwe makini.....hawaaminiki hawa...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Au ndo ujumbe aliopewa tarehe 10 Agosti alipomtembelea rais mstaafu wa awamu ya nne? Anyway...CCM ni ile ile hata marehemu Komba aliimba.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    CCM ni ileile....
  12. K

    JamiiForums Tanzania Kishindo cha vikwazo kesho, Nchimbi na Kombo wapo Marekani, Samia yupo Dubai

    Wahuni ni waliofanya mauaji Oktoba 29 hadi Novemba 3 mwaka 2025
  13. K

    JamiiForums Tanzania TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Kiongozi gani wa CCM mzuri? Kuna hata mmoja alikemea upotevu wa nguvu kazi tarehe 29 Oktoba 2025 hadi tarehe 3 Novemba?
  14. K

    JamiiForums Tanzania Watanzania hawataandamana tena wameamua waishi maisha Yao

    Kuishi ni bahati, kufa ni lazima.
Back
Top Bottom