Habari za leo
Msijadili sana kwani mataifa mengine watakuja kutucheka. ni kawaida kutokea kwenye Domestic flights ila kwa hapa BONGO inawezekana ni mara ya kwanza. Siku Moja nilikuwa naenda ABUJA nikitokea LAGOS, nilikuwa nasafiri na VIRGIN ATLANTIC AIRLINES. kwa kawaida Local flights NIGERIA...
halijakukuta. Ipo siku nilishuhudia askari mmoja akiwaonyeshea speed radar 70km/h kila dereva aliyekuwa anapita mbele kidogo ya kibaha kongowe kwenye kituo cha mafuta. Na mimi akanitendea hivyohivyo. Nikashangaa kwani speed yangu ilikuwa 40km/h. Nilivyogundua baada ya kumbambikia wa nyuma yangu...
Hii ni shule kongwe kwa wanaoifahamu. Ilikuwa na sifa nyingi miaka ya nyuma. Nakumbuka miaka ile ya mwanzoni 1990 wakati natokea mazengo-high school na kufika maeneo hayo muda wa saa mbili sa usiku na kuona taa zikiwaka kutoka katika jengo hilo. Kwa kweli miaka ile ilikuwa ni ruvu kweli...
hiyo misaada ya mafuta mnayopewa kama angemiliki MUISRAELI MNGEPEWA. MARA NGAPI JK AMEENDA NCHI ZA KIARABU KUOMBA MSAADA WA MAFUTA NA PESA? NA MARA NGAPI AMEENDA ISRAELI? HAWA MAYAHUDI MBONA MNAWAABUDU. TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI CHACHE SANA INAYOMYHAMINI MYAHUDI KULIKO..... WANGEKUJA KUJENGA...
se nge ma ma ako. Unajua maana ya silaha duni?. Au ukisikia rocket unajua zote zina uwezo sawa? Kufa hampendi eeeeeeeeeeeeee?. Sisi tunafundishwa " maisha ya dunia ni starehehe ndogo yenye kudanganya" ila nyie nyie ndio mmewekeza
Sio sabini mkuu. Hamas wamethibitisha idf waliowauwa ni zaidi ya 100. Pamoja na wale makomandoo waliuingia mtego wa kujaribu kupenya kwenye tunnel tahamaki ana kwa ana na hamas ndani ya tunnel makomandoo wote 10 wa isareli wakafyekwa
AFANYE KWANI AMESHINDWA NINI? NYAU WE!!. WATU WANASILAHA DUNI UTAKI WASAIDIWE? JE WANGEKUWA NA NDEGE ZA KIVITA NA VIFARU?. KAA UKIJUHA NETANYAU NA OBAMA WAMESHATOFAUTIANA. NETANYAU ANAONA AIBU KUSITISHA KUWAUWA RAIA KWANI WANAJESHI 100 WA ISRAELI WAMESHAKUFA. KITU AMBACHO HAWAKUTEGEMEA, JE...
Kumbe hamas walikuwa wa kweli walisema " hawajakamata mateka askari yeyote wa israeli hizo ni propaganda zao za kutaka kuua watoto kwa kisingizio cha kumtafuta" walisema wanaamini ameuwawa katika mapambano. Waisraeli njooni huku mfungue makanisa wapo watu wanawaita watoto wateule wa mungu mje...
1. kwani HAMAS KUSAIDIWA NI KOSA?
2. MBONA WAO WANASAIDIWA NA NCHI ZA MAGHARIBI?
3. sudan msikubali UBEBERU WA AINA HII, PAMBANA USIOGOPE, WEKA JESHI KATIKA ALERT
4. ISARELI INATAPATAPA KWANI HAWAKUTEGEMEA UPINZANI WANAOUPATA. ILIJUA NI KAMA MIAKA YA NYUMA NI KUPIGA BILA ASKARI WAO KUUWAWA...
Mimi nashindwa kuelewa watz wanaowakumbatia israeli, wanachokifanya gaza ni unyama sijui watz wataelewa lini?. Ila natabili kitu kimoja laiti kama waisraeli wangekuja bongo kuanzisha makanisa basi naamini wangekusanya kuliko tra na pia wangeabudiwa.
Hamas ya sasa sio ile ya miaka ya nyuma, naomba muangalie aljazeera sasa hivi kuna breaking news. Israeli wameingia kiwewe hawakutegemea kama wangepata upinzani kama huu. Hivi sasa idf mmoja katiwa mbaroni. Alijitia commandoo aingie kwenye tunnel, sasa bado kuliwa tigo
Visa zinapatikana on arrival. Hakuna ubalozi hapa bongo, visa zinapatikana tunis airport kwa 50 dinar hakikisha immigration ya tunis wanalojina lako, yaani yule atakaekualika apeleke jina pale tunis airport na akupe wewe barua ya mualiko. Hakikisha unaitunza vizuri kwani tunis air ni wakorofi...
Nilikuwa nafuatilia mada za JF kuhusu Mapigano ya ukanda wa GAZA kati ya Israel na wanyonge waPalestina ambao wameishi kwa muda mrefu tangu mwaka 1947 katika taabu kubwa. mwaka 2011 nilipata kusoma kitabu kimoja, mwandishi alidai kuwa hakuna empire hata moja duniani ambayo ilikuwa empire kwa...
Wewe unajua mzozo huu ulipoanzia au unakurupuka tu. ISRAELI ana ardhi pale wale si walikaribishwa kutoka Ulaya mwaka 1947 umesahau mzee. leo uje udai kwako, ukoloni huo haupo tena. Mimi nasapoti WANYONGE WANAODHULUMIWA HATA KAMA HAWANA SILAHA, IPO SIKU DAMU YAO ITALIPWA. UMESAHAU AFRIKA KUSINI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.