Recent content by Kisamo one

  1. Kisamo one

    JamiiForums Tanzania Ni wakati muafaka sasa Mifugo itozwe kodi. Msukuma au Mmasai anamiliki zaidi ya ng’ombe 1,000 na hachangii chochote! It is not fair

    Ikitozwa kodi bei ya nyama itapanda hutaweza kununua! Kila kitu kina impact! Vyanzo vya kodi ni vingi lakini lazima uangaloe na uwezo wa vyanzo vyenyewe! Na mbona hujataja rasilimali kibao zilizopo unakimbilia Mifugo
  2. Kisamo one

    JamiiForums Tanzania Gazeti la The Washington Post laripoti kauli ya Rais Magufuli kuhusu Corona na chanjo yake

    Kufa kupo tu. Tukijifungia ndani ndio kabisa tutakufa kwa njaa bab
  3. Kisamo one

    JamiiForums Tanzania Gazeti la The Washington Post laripoti kauli ya Rais Magufuli kuhusu Corona na chanjo yake

    Hawana jipya tena, wakiona waafrika tunataka kutoka na sisi wanaleta upuuzi wao
  4. Kisamo one

    JamiiForums Tanzania Gazeti la The Washington Post laripoti kauli ya Rais Magufuli kuhusu Corona na chanjo yake

    Wewe tuache kuabudu wazungu, kwan sisi sio watu jamani
  5. Kisamo one

    JamiiForums Tanzania Gazeti la The Washington Post laripoti kauli ya Rais Magufuli kuhusu Corona na chanjo yake

    Wewe Ni afadhali kawaambia wazungu ukweli. Tunahitaji kufanya kazi na hakuna solution hapo. Hatuwezi kujifungia ndani. Tutakula nn sasa
  6. Kisamo one

    JamiiForums Tanzania Ni wakati muafaka sasa Mifugo itozwe kodi. Msukuma au Mmasai anamiliki zaidi ya ng’ombe 1,000 na hachangii chochote! It is not fair

    Acha ufala! Kwan na wewe umeshindwa kumiliki? Ndio maana waafrica hatuendelei. Ukimwona mtu anahela kidogo unawaza kwenda kuchkua
  7. Kisamo one

    JamiiForums Tanzania Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

    Inategemea na location , uliza Bajaji za Kahama
  8. Kisamo one

    JamiiForums Tanzania Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

    Hapa wabongo wamekua wachoyo na Ideas zao
  9. Kisamo one

    JamiiForums Tanzania Bado sikubaliani na Tecno kuuzwa laki 6

    [emoji51][emoji51][emoji23][emoji23][emoji23]
  10. Kisamo one

    JamiiForums Tanzania Biashara Kumi (10) Unazoweza Kuanzisha na Kufanikiwa Kimaisha

    Sio Tabora tu hata Kahama! Na msimu mwingine ushawadia! Sasa sijui itakuwaje kwa walionunu mipunga na kuweka stoo maana soon watu watavuna tena
  11. Kisamo one

    JamiiForums Tanzania Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Sawa unaweza kutumia M-pesa master kadi! Ni salama haina shida! Mm nanunulia sana bidhaa mtandaoni! Faida yake ni kwamba unaweza kutengeneza kadi ya muda kwenye menue ya m-pesa! Ukahamishia kiasi unachotaka kununua biadhaa online! Mfano iphone dola mia! Basi unahamishia hicho kiasi kwenye...
Back
Top Bottom