Ikitozwa kodi bei ya nyama itapanda hutaweza kununua! Kila kitu kina impact! Vyanzo vya kodi ni vingi lakini lazima uangaloe na uwezo wa vyanzo vyenyewe! Na mbona hujataja rasilimali kibao zilizopo unakimbilia Mifugo
Sawa unaweza kutumia M-pesa master kadi! Ni salama haina shida! Mm nanunulia sana bidhaa mtandaoni!
Faida yake ni kwamba unaweza kutengeneza kadi ya muda kwenye menue ya m-pesa! Ukahamishia kiasi unachotaka kununua biadhaa online!
Mfano iphone dola mia! Basi unahamishia hicho kiasi kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.