The Saviour
Member
- Jan 30, 2020
- 10
- 10
Sio Hadi uanze na mtaji mkubwa mzee. He's correct! Otherwise tupe wewe ideas za kuwa billionaireHAHAHAHAHAA
HUWEZ kutoka kimaisha kwa biashara hizo zaid ya kupata ela ya kula tu na majitaj mengine madogo madogo.
Nilifikiri utazungumzia biashara ya kununua mazao kisha uweke stoku ili uuze pindi bei ikipanda. Hii biashara itakutoa kuliko hiyo ya kwako.