Recent content by Kisambo

  1. Kisambo

    Changamoto ya Foleni njia ya Moshi-Arusha

    Barabara ya Moshi-Arusha magari hayatembei kuanzia Kia mpaka Arusha Mjini. Haijulikani changamoto ni nin hasa na wale wa kutoka moshi kwenda arusha wametanua njia nzima na wale wa kutoka arusha kwenda moshi nao wamefanya hivyo hivyo. Wahusika wenye mamlaka watatue changamoto hii kwani ni zaid...
  2. Kisambo

    Mpangaji agoma kuhama baada ya mkataba kuisha. Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?

    Polisi hawana mamlaka ya kufanya hivyo,aende mahakamani hiyo siyo jinai ni madai
  3. Kisambo

    Mpangaji agoma kuhama baada ya mkataba kuisha. Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?

    Kwanza unalipa kodi za serikali za pango? Huyo ukienda nae kwenye sheria anakulaza na viatu kaeni chini mmalizane
  4. Kisambo

    AFC/M23 yasikitishwa na uingiliaji wa Taasisi za Kimataifa katika jitihada za Amani DRC

    Hawa wamejiondoa baada ya UK na Belgium kuanza kumkaba Rwanda Na kitendo cha Congo kuingia makubaliano na USA hakiwafurahishi hawa jamaa
  5. Kisambo

    Msaada: Baba alitoa shamba Kama sadaka kanisani, familia tunataka kulirejesha tuanzie wapi?

    Ni muda wa nyinyi kutafuta mali zenu sasa na nyinyi muamue mtazigawa vipi,unaliliaje mali ya mwanaume ambaye hukumsaidia kuchuma?
  6. Kisambo

    KERO RTO Arusha, Polisi wa Usalama Barabarani (Trafiki) ni janga. Chukua Hatua

    Aliongea kinana akapuuzwa sembuse wew mkuu?
  7. Kisambo

    Mamba waonekana Bwawa la Chemka

    Acha kuongea ujinga wewe kampuni ya African Queen mgeni wake alishashambuliwa na mambo hapo,hata Tanzania Specialist…. Hao wanaosema hakuna wanafaidika na hiyo sehemu lakin ukweli ni kwamba Mamba Chemka wapo..
  8. Kisambo

    Mama yangu ana miaka 70. Je, anaweza kupata cheti cha kuzaliwa?

    Acha kumponza mwenzio,ahakikishe pochi ina maneno tu
  9. Kisambo

    Mama yangu ana miaka 70. Je, anaweza kupata cheti cha kuzaliwa?

    Kama pesa ipo ni jambo la siku chache tu[emoji23]
  10. Kisambo

    Ikungi ni Kijani kila kona miaka 46 ya CCM yaelekea Watu wamewapuuza CHADEMA na Tundu Lissu!

    Mmesahau hizo bendera na mabango mliyaweka kwa nguvu na kuondosha ya chdema kwa msaada wa mwendazake? Umesahau kwamba tangu ruhusa ya kujenga na kufanya mikutano kwa vyama ndio imetolewa. Subiri sindano ikuingie
  11. Kisambo

    Ushauri: Mke wangu anawasiliana na X wake

    Wew bado ni mvulana unayepambana kuwa mwanaume,siku ukiwa mawanaume utaelewa.
  12. Kisambo

    Dereva wa Daladala aliyemuua mkewe Dar kisha kukimbia, akamatiwa Lindi

    Tangu lini maskini akawa na mbio zenye akili?
  13. Kisambo

    Mh Waziri Ummy Mwalimu walazimishe Wizara yako watoe ratiba ya mitihani ya vyuo vya Afya

    Hata mim nimeshangaa NACTE wanasubiri nin mpaka leo?
Back
Top Bottom