Matokeo kufutwa sio kitu cha ajabu,standardization pia sio kitu kipya,form 4 1998 kuna mitihani ilifutwa baada ya kuvuja hivi nyie form 4 wa mwaka huo msiajiriwe kwa kua ni wezi wa mitihani?au mnadhani hao watoto wa form 4 ya mwaka jana hawana nafasi tena kwenye nchi yao kisa wamefeli?nyie...
CHADEMA nikisliliza hizi purkushani zenu za urais 2015 napata wasiwasi...hivi ni ishu saana kwa wakati huu?nasita kusema kwamba naona dalili za uroho wa madaraka ndani ya CHADEMA.Kwanini hii habari inapamba moto sana wakati taratibu zipo na zinaeleweka?
watanzania na sie sjui tumelogwa na nani....kauli ya awali wala haikuhitaji kuibua maswali kwani uhuru wa raia ulitumika,sasa hii ya pili nayo mwataka kutumia muda kuijadili,hebu fanyeni ya msingi msipende porojo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.