sasa mbona kama unauliza tena wakati wewe ndio uliyepima na kukuta huna maambukizi na je, baada ya kupata gono umepima tena?? kuhusu group la damu hakuna ukweli kama ukifanya ngono zembe utabukizwa tu hata km una group o-
dr kuna dawa umeitaja hapo juu kuwa inatumika kwa wagonjwa wa Asthma ila mume wangu namuona anatumia na hana Asthma pia uvitumia akiwa kanywa pombe msaada pliz
niliwai kusikia mama mwenye maambukizi ya vvu akijifungua kwa oparesion uhakika wa kuzaa mtoto asiye na maambukiz ni mkubwa zaidi kuliko akipush sasa sijui lina ukweli wowote!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.