Madai ya Msuya niyakweli ccm ndio wamechangia kukimaliza chama chao wenyewe rushwa imetawala kubadilisha matokeo kwa mfano jimbo la mwanga aliyeshinda ni Tadayo chakushangaza maghembe katangazwa
kama alikuwa na orodha ya vigogo wa serikali waliokuwa wanajihusisha na ujangili ni shida.hilo litawatisha hata wale wenye orodha ya vigogo wanaojihusisha na biashara haramu ya madawa ya Kulevya
point yako nzuri lakini haina mashiko huyo angekuwa cdm ubunge ungemuhusu labda urudi ccm halafu rais amfikirie hata hivyo huyo aliye mshauri ajiunge na Act amempotezea ramani binafsi namshauri atoroke aje cdm
Hapo kazi kweli kweli .hivi maghembe yuko wapi kwann anakaa kimya huku wapigakura wake wanaozea kiruru? angekuwa waziri tungesema yupo kwenye vikao huko lakini kwa bahati nzuri amekosa uwaziri ili awe karibu na wapigakura wake na kutatua kero zao za msingi.
Makonda anaelekea mwisho.yani ni haki ya kubenea kama mbunge kusikiliza na kujua matatizo ya wapiga kura wake na kuyatatua na ikishindikana kuyapeleka bungeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.