Recent content by KIRUA

  1. K

    TRA waongeze Siku 45 za Ziada kwa Zoezi la Kubadilisha Kadi za Magari

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA Tanzania ) hivi karibuni ilitangaza agizo la wamiliki wa magari kubadilisha kadi zao za usajili wa magari ndani ya muda mfupi uliowekwa. Ingawa hatua hii ni muhimu katika kuboresha ufanisi na uwazi wa mchakato wa usajili wa magari, muda uliotolewa umekuwa mfupi...
  2. K

    SoC04 Uchovu wa Wafanyakazi wa Sekta ya Umma Tanzania

    Utangulizi Uchovu wa wafanyakazi katika sekta ya umma ni tatizo la kimataifa linalojulikana kwa kuchoka kihisia, kupoteza ari ya kazi, na kupungua kwa hisia za mafanikio binafsi. Hali hii ni ya kawaida zaidi nchini Tanzania kutokana na sababu mbalimbali za mfumo, shirika, na mtu binafsi. Insha...
  3. K

    Ushauri kwa waziri wa mambo ya ndani ,Msongamano mahabusu na wafungwa

    kweli kabisa kila mkoa inatoa 30 kwa mwezi itapunguza sana na sheria inataka wafungwa wa miaka mitatu!Nandiyo wengi magereza!
  4. K

    Ushauri kwa waziri wa mambo ya ndani ,Msongamano mahabusu na wafungwa

    Ndg Mh waziri Charles Kitwanga suluhisho la tatizo la msongamani na gharama kubwa kwa magereza yetu upo wazi ,Pale wizarani kuna kitengo cha Probasheni na Huduma kwa jamii wanao deal na wafungwa wa nje,kurekebisha tabia na after care service hawa watu wanatosha kabisa kuwa mbadala na suluhisho...
  5. K

    Siku ya UHURU wa Tanzania bara (9/12): Yaliyojiri maeneo mbalimbali kuhusu kufanya usafi

    JJMnyika 09/12/2015 https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=10153121619880957&id=526280956 Mnyika John akifanya usafi
  6. K

    Anachofanya Rais Magufuli sasa ni uchonganishi kati ya wananchi na Kikwete

    labda alikuwa Kilenzi chako!Rais gani tabia za baby class ,kuchekacheka na kwenda ulaya kupanda matoy ya wazungu!
  7. K

    Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria, ongoza kwa 'presidential decrees'!

    tena aruhusiwe na kunyonga wahujumu uchumi!Watu wanateseka na kufa !Kwa dunia hii Tanzania inahitaji utawala wa mapavu ,siyo rais wenye tabia za baby class au kendegate wakati watu wanakufa hakuna matibabu wala dawa!
  8. K

    Waziri Mkuu Majaliwa ndani ya Bandari tena. Makontena zaidi ya 2,400 yamepita bila kodi

    Bado kunasehemu wanaiba sana,Tanapa na na mashirika mengine!
  9. K

    Billcanas wanakwepa kodi, TRA tafadhali chukua hatua

    kama unaushaidi nenda karipoti 3% ya kodi wanayokwepa ni yako!
  10. K

    Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, ajiuzulu Uongozi ndani ya CCM

    Naaamini tukichambua mapungufu yetu na kuyafanyia kazi tutaendelea sana but sasa kama mtu anaona mapungufu na kusema hayo mapungu unaonekana msaliti hii haitatujenga kabisa!Binafsi nakuwa na wezangu wacdm nikiwauliza maswali ya msingi kama lilotokea Ruvuma japo niko Arusha ,wanakuwa na hasira na...
  11. K

    Sakata la Richmond: Dr. Mwakyembe amkaanga Lowassa, Kumburuza Mahakamani...

    kila mtanzania anahaki ya kwenda mahakamani nakufungua shauri/shitaka lolote kwa mtu yoyote isipokuwa rais.Mwakiembe anataka kuwaminisha umma kuwa atampeleka EL mahakamani kwa kosa la Richmond,huku tukijua ni haki yake kufanya hayo, lakini ukifika mahakamani kwa kufungua shauri haimaanishi wewe...
  12. K

    Lowassa atakatiwa rufaa kwa kuanza kampeni mapema, atakatwa tena

    aliye haidi laptop kwa walimu na 50 million kwa kila kijiji ajaanza kampeni!? je akatiwe rufaa kuna kesi ya msingi zidi yake?
  13. K

    Ofisa wa NEC matatani ni baada ya kumuita Lowassa Rais akimkabidhi fomu

    nilijua ni mimi tu liniye sikia yule Mzee akimwita mh Rais EL
  14. K

    Bituro Kazeri, Huyu si mchambuzi bali ni kada wa CCM

    Mzee huyu ni kada tena mtiania ubunge Ukerewe!Ukiachana na ukada akijikita kwenye uhalisiha ni mtu mzuri sana,tena msomi wa hali ya juu tu,mwanzilishi wa taasisi ya sayansi jamii, www.tasaja.org
Back
Top Bottom