Recent content by Kiroboto one

  1. Kiroboto one

    Central Bank of Kenya uses $ 300M to save KShs vs Bullish USD

    Haaaa haaaa haaaa mbavu zangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  2. Kiroboto one

    Morogoro: Madiwani watatu wa upinzani wajiuzulu na kuhamia CCM

    Jina lake limefanana na maamuzi aliyofanya.
  3. Kiroboto one

    Kwa mfano itokee mtake kuandamana mtapata wapi watu?

    Tunaandamana mioyoyoni.
  4. Kiroboto one

    Tetesi: Siku 5 kabla ya usajili kufungwa, Joshua Nassari atajwa kuhamia CCM

    Nasari ameokoka hawezi wasaliti wapiga kura wake.Ana hofu ya MUNGU ndani yake.Dhamira yake haijafa.
  5. Kiroboto one

    Ushauri kwa jeshi letu:jaribuni kuangazia na maeneo haya

    Mimi hapa napita jeshi hapana [emoji41]
  6. Kiroboto one

    Hizi ni zama za Magufuli si za Jakaya

    Amtumbue Bashite ndio tutajua hana rafiki wa kudumu!!!!
  7. Kiroboto one

    Ukiona kuna watanzania hawajailewa muvi hii basi bado kuna kazi ya ziada, je ndo ataeleweshwa hili na kuelewa?

    Haaaa haaaa haaaa.Ukiuwa Mbumbumbu mia moja wanazaliwa efu moja haaa haaa najuta kuzaliwa Tanzania.
  8. Kiroboto one

    Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

    Usoni kwake na anayoongea Ni vitu viwili tofauti.
  9. Kiroboto one

    Msigwa: Sitishwi na chochote japo Jeshi la Polisi linatumika na CCM Iringa Mjini

    Du haya Bwana.Hata mchumba ukimlazisha akupende atafanya hivyo lakini sii kutoka moyoni Hiyo lakini ndoa itaishia njiani.
  10. Kiroboto one

    Utitiri wa Madhehebu ya dini uchunguzwe

    Wewe usicheze na wito wa Mungu
  11. Kiroboto one

    RPC Olomi aliyesimamishwa kazi Kagera ni nani ?

    Aisee Mimi hapa napita mbio sina la kuchangia.Tumeongea Sana kuhusu huyu jamaa.
Back
Top Bottom