kwa hiyo tuna haki pia kusema ccm ni ya nyerere ??kuna kipi kilicho jianzisha chenyewe bila kuanzishwa na mtu au kundi la watu? Labda tusaidie hapo kwanza wewe unae jiona ni GT.
wakati mwingine huwa nashindwa kuelewa hivi ni ikulu zote huwa zinafanya kazi hivi!!??? Au ni ikuli ya tanzania tuuu???maana nayaona nakuyashuhudia ambayo sijawahi yashuhudia katika tawala zilizo toka kutoka ikulu,
au watu alio waweka muhemiwa rais ikulu ndio tatizo!!? Kwamba hawakupaswa...
huwa sina desturi ya kucomment huku lakini jibu lako limenishawish, labda nikuulize wafungwe wamekosa nini?kuna kosa walilo fanya hao vijana ambalo limeligharimu taifa kiasi cha kuwashutumu? Wewe ni mtanzania wa daraja gani? Na yule aliye funga safari kwenda kumpongeza raisi kutoka geitya...
utamtia utasa kama sio cancer na uvimbe mwenzio na hizo njia zako za uzazi unazo mshauri, si salama hata kidogo,unaweza kujikuta umezuia mimba milele. Go and find details my dear.
Njia ya kalenda ndio njia ya uhakika isiyo na madhara yeyote yale kwake isipokuwa ni kuwa makini tu kuanzia siku ya 9 hadi 18 kwa uhakika zaidi, baada ya siku ya kwanza ya hedhi , hizo njia zingine anatafuta uvimbe kwenye mfuko wa uzazi na mengineyo.
Asishawishike na promition zinazo...
hivi tanzania huwa kuna desturi ya kuwajali wataalam wazawa??? Hivi wale jamaa walio unda nyumbu car waliishia wap?? Na wale wataalam wa gobore za kienyeji wapi waliko?? Zaidi unakamatwa ndani!
nadhani hakuna dini wala dhehebu ambalo mungu kwa kinywa chake ametamka kuwa ni sahihi kwake. Zaidi ni utetezi uliopo katika kila kitabu cha dini husika kuwa mungu alisema.
nadhani kila mtu aamini anacho ona kinamfaa. Ndio maana wenzetu china,japan na nchi zingine hawana ujinga huo wa yesu...
sawa kaka ina hali gani na je ishawahi fanyiwa marekebisho yeyote kwenye engine na kwingineko?kuhusu km ilizo tembea inaweza chezewa kwenye odo hilo achana nalo nijue kwanza ina mda gani na matumizi yako ni binafsi au biashara coz reg. yake ni ya mda kiasi ingawa si sana. Naihitaji, then...
tatizo lako ndugu yangu hujataka kuelezwa faida za kufanya kazi serikalini. Tafuta mtu akuelimishe kidogo kuhusu hilo. Na ndio mana unaweza kukuta mtu anafundisha private lakini ajira za serikali zikitoka anaacha private na kwenda serikalini hata kama mshahara ni mdogo kuliko private,na...
jamani nahitaji mtu wa kubadilisha na mama mtoto wangu yeye yupo mafia idara sekondari masomo: art, anahitaji kwenda mwanza wilaya yeyote plz kama yupo mhitaji wa hili.
achana nao kaka si unajua mwenye shibe hamjui mwenye njaaa?? Wana sahau wapo wamao lipwa chini ya laki mbili kwa mwezi na bado wanaendesha maisha,cheti na mshahara ni vitu viwili tofauti ingawa watanzania wengi wanahusianisha cheti na mshahara wakati cheti ni karatasi tu unalikalia nyumbani na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.