Ni kweli ataleta zawadi za kumwaga mbungu limbukeni huyo
anatetemekea zawadi ya chandarua, dawa za kupunguza makali
ya ukimwi, condom, wakati wazungu wanachota almasi, dhahabu, uranium,
na umeme kwao haukatiki ovyo kwa kutumia rasilimali zetu kwani hivi vitu cc tunashindwa kuagiza? yani Mungu...