ok nauza bandaunauza nyumba au banda..
10millionWeka picha mkuu!
Unauza shilingi ngapi?
10million
nitajitahidi ndani ya siku mbili niweke mkuu coz sipo maeneo ya huko ndo mana itaniwia vigumu kuweka pichaWeka picha,size ya eneo kwa square meter! Fanya fasta tunaweza tukafanya bizness.
nitajitahidi ndani ya siku mbili niweke mkuu coz sipo maeneo ya huko ndo mana itaniwia vigumu kuweka picha
urefu ni futi 47/40Size ya eneo ni ngapi? In meter
unauza nyumba au banda..
umeona ee! ni bei pia mkuu laini hailipi hata kidogoMbagala kwa nyoka lazima utembee na dawa ya sumu ya nyoka huko. nina 1,200,000/= vipi?
Mbagala kwa nyoka lazima utembee na dawa ya sumu ya nyoka huko. nina 1,200,000/= vipi?
ukifika kituo cha shule ya saint anthony mbagala unaingia upande wa kulia kuelekea kiburugwa, kwa nyoka kwa IQ yangu ndogo ni majina tu kama kwa madenge, kwa komba, kwa remmy...... ni uswailini kiasimkuu ebu fafanua ni wap uko? je kwa nin wameita kwa nyoka? je pia ni uswahilin sana.?
ooh,nilidhani iko dar salama vijijini.ukifika kituo cha shule ya saint anthony mbagala unaingia upande wa kulia kuelekea kiburugwa, kwa nyoka kwa IQ yangu ndogo ni majina tu kama kwa madenge, kwa komba, kwa remmy...... ni uswailini kiasi
mkuu ebu fafanua ni wap uko? je kwa nin wameita kwa nyoka? je pia ni uswahilin sana.?