Recent content by kirikou1

  1. kirikou1

    Nataka kwenda Fiji kutafuta life nipeni abc zake

    Ila visa free inakua kwa tourist visa mkuu, unaenda kama mtalii kuwapelekea dollar Business visa, working visa etc zenyewe unalipia
  2. kirikou1

    Ni kweli biashara za ziwani au baharini na madini bila uchawi hautoboi?

    Rejea kilio cha madereva wa serikali kuloga ili wapate gari
  3. kirikou1

    Hili ni shambulio la moyo, ndoa imekuwa chungu

    Unaamini vipi hicho kiumbe tumboni ni chako?
  4. kirikou1

    Kila nikikumbuka kuwa nilisema "Sitafanya kazi chini ya laki 3" baada ya kumaliza University

    Daqah Ndio maana zinachelewa, ukoo mzima advanced ni mtu mwenye cheti cha ualimu serikalini Itabidi tujifunze kwa jamatini
  5. kirikou1

    Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

    Suti na tai za boni mwaitege
  6. kirikou1

    Huyu Mwalimu anaishi kwa mbinu Gani nchi Tanzania?

    Kama hajavuka 1/3 ya mshahara anakopa tu
  7. kirikou1

    Huyu Mwalimu anaishi kwa mbinu Gani nchi Tanzania?

    Nawaona wakausha damu wa kutosha kwenye salaryslip wanafyonza tu
  8. kirikou1

    Mtanzania afia Uturuki akifanyiwa operesheni ya shepu

    Tunaowaonea huruma wapigwa pasi tupo mkuu
  9. kirikou1

    Hivi Mshauri wa Saikolojia na Ndoa za watu nchini Tanzania Dkt. Mauki ndiyo kusema yeye ni Malaika na hakumbani na kero zitupatazo?

    Yaliyopo nyuma ya pazia yanasadifu uhalisia. Rejea yule mmarekani alochapiwa while kwenye kipindi chake ni mtaalam wa mahusiano
  10. kirikou1

    Maisha Yako ya sasa ni Matokeo ya family background yako

    OT: Kuna mmoja alisema napaswa kumpa jina mtoto like precious, gifts, loveness etc ila nisimwite like tata, madiba, liti, Ghati etc kwamba majina haya yamejaa laaana na mikosi. Nikizingatia heading bila content, naenda kidogo tofauti na wewe. Tuna fugures nyingi ambazo ni vielelezo tosha kutoka...
Back
Top Bottom