yasikie tu, natamani ningeweza kuwa kawaida ila sidhan, tangu nilipotambua taswira yake imebadilika kwangu, hata nikimuangalia namuona kama dude dede flani hivi, bad enough yeye ni mtoto wa pili, yuko dada ake na mdogo. yan kifupi sijui sijui tu yan inakuaje
Hivi unachukua uamuzi gani baada ya kujua kua mtoto uliemlea kwa zaidi ya miaka nane sio wakwako? Nini cha kufanya?
Then yule mke wako unamfanyaje kwa mfano?
MoseKing,
sawa wewe mwenye akili ya kiulaya ila nimesema "nadhani ni wakati sasa tukiwa tunajadili ni jinsi gani ya kuushinda huu ugonjwa pia tujadili ni jinsi gAni ya kuishi na huu ugonjwa kama ilivyo UKIMWI na malaria."
Ni wazi kua watu wengi walidhani Corona itakua ni ugonjwa wa labda muda mfupi kisha utadhibitiwa, lakini hali ni tofauti kwani hadi sasa kesi zinaongezeka kila uchao, hata huko Marekani ambako wameamua kuondoa lockdown sio kwa sababu mambo yamekaa sawa, keshi bado ni nyingi na watu wanaendelea...
naposema kubwa naamisha yenyevyumba kama vitu, living room, jiko na sehemu kama ya kusomea,
ninapomaanisha ndogo namaanisha labda chumba kimoja tu cha self na living room(sebure bas)
naombeni ushauri wenu ndugu, ninakiwanja cha 20:30 square meter, uwezo wa kujenga nyumba kubwa kwa haraka sina na maisha ya kupanga siyapendi, je mnanishauri nini? nijenge ndogo tu kwa nyuma kwanza nihamie au nivumilie nijenge kubwa ingawa itanichukua muda mrefu kutokana na hali ya kipato, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.