Recent content by Kirchhoff

  1. Kirchhoff

    JamiiForums Tanzania Katambi: Wizara ya Mambo ya Ndani imepanga kukusanya Bilioni 499 kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027

    Fedha Kutoka Fine za Barbarani, Ile fedha ya dhamana ya viongozi wa chadema kukamatwa pamoja na watu wengineo kukamatwa na kudaiwa fedha ili waachiwe.
  2. Kirchhoff

    JamiiForums Tanzania Eti mtakatifu kashia utuombee, hauwezi kukuta bwana Mabula kutoka Manolea Tabora wazungu kumkiri ni mtakatifu, Waafrika bwana ni shida kwelikweli

    Sisi tunaona wakituombea Tunafanikiwa Kupewa na Mwenyenzi Mungu Kile Tulichokiomba.
  3. Kirchhoff

    JamiiForums Tanzania Eti mtakatifu kashia utuombee, hauwezi kukuta bwana Mabula kutoka Manolea Tabora wazungu kumkiri ni mtakatifu, Waafrika bwana ni shida kwelikweli

    Ndiyo. Mtakatifu Yosephine Bakhita Utuombee Mtakatifu Karoli Lwanga Shahidi Utuombee Watakatifu Petro na Paulo Mtuombee. Watakatifu wote wa Mungu Mtuombee.
  4. Kirchhoff

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    Umesikia Maelezo yake? Mtu hatati kwa nini hawakumpeleka Mbweni Au Osterbay wakataka wampeleke kwa Bosi? Mtu hatari yupo mtaani hajajificha ndo atekwe badala ya kukamatwa?
  5. Kirchhoff

    JamiiForums Tanzania Mchina kaleta pikipiki Sinoray cc 200 (umeme), vijana wa Arusha wanazitumia kusafirishia mirungi na bangi

    Serikali iwaangalie Hawa ni kama wanamgambo wa hamas
  6. Kirchhoff

    JamiiForums Tanzania KERO Tatizo la Usafiri kwa Wananchi tunaoishi MOSHONO - ARUSHA

    Daladala Zipo Za Kutosha Barbara ya Moshono. Changamoto Ni pale wanapokatia Barbara ya uzunguni kuelekea Fire kisha Samunge na kuathiri wasafiri wanaotaka kupita Naaz, Metro hadi Friends Corner. Bajaj hazina shida zenyewe zinapita Naaz hadi Posta bila shida.
  7. Kirchhoff

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa majibu yetu Kwa Paschal Mayala, kuhusu nani aliamuru kupigwa risasi "raia"

    Serikali Ipi Ilikuwa Madarakani Siku ya Uchaguzi?
  8. Kirchhoff

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa majibu yetu Kwa Paschal Mayala, kuhusu nani aliamuru kupigwa risasi "raia"

    Kwahiyo Amri Ya Kupiga Risasi na KUUA Ilitoka kwa nani?
  9. Kirchhoff

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Mlimani - Hotuba Maarufu zaidi kuwahi kutolewa Duniani

    Uza Ulivyo Uwape Masikini Kisha Unifuate. Utajiri Wako Utumike kwa Utukufu Wa Mungu.
  10. Kirchhoff

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nyalandu: Serikali ilienda kulinda watu, tuna ushahidi waandamanaji walikuwa na bunduki na mabomu

    Mitungi ta Gesi si Kina Gambo na CCM walikuwa wanagawa kabla ya uchaguzi? Au ndo picha za wabebaji zikatumika?
  11. Kirchhoff

    JamiiForums Tanzania Hivi wadada wakristo mna matatizo yapi?

    Kwamba Waisilamu hawavai Sketi Fupi na nguo za kubana?
  12. Kirchhoff

    JamiiForums Tanzania Mkoa upi ulikinukisha kisawa sawa, tupe top 5 yako

    Wewe Ngara unanikumbusha housegirl wangu kutoka Ngara amenifanyia Uchawi
  13. Kirchhoff

    JamiiForums Tanzania Sumu zinazotumiwa na majasusi kumaliza adui zao kwa msaada wa grok

    Je Mbobezi aliuawa kulipa kisasi?
  14. Kirchhoff

    JamiiForums Tanzania Polepole anapotosha sana, Magufuli wakati akiwa Chato, tayari alikuwa hayupo sawa kiafya

    Inabidi yuletewe Video ya Nyendo za JPM akiwa kiwandani sasa tuzichunguze.
Back
Top Bottom