Recent content by Kiranja wa jamii

  1. K

    JamiiForums Tanzania CDF na IGP kwa uelekeo huu kamwe hawatopanda mahakamani kwenye kesi ya Lissu

    Na endapo wataenda watawala hawatamuacha Lisu salama, kumbuka hapa malawi mihimili yote iko chini ya muhimili uliojichimbia chini zaidi
  2. K

    JamiiForums Tanzania Lema ajitetea amuangushia jumba bovu Makamu mwenyekiti

    Uchokozi wa Lema kwa Heche hautaishia pazuri, itakuwa amepewa kazi maalumu kumuhusu Heche
  3. K

    JamiiForums Tanzania Mkubwa kashtukia mchezo wa July - Sept, anawapukutisha Kama majani ya Kiangazi, bundi katua kwa taita

    Kwamba "FOREVER"?!? Tena inaandikwa kwa herufi kubwa!! This is terrible!! Sasa Tundu Lisu aandae koromeo vizuri, kama huyu wanampa kifungo cha Kimya kimya
  4. K

    JamiiForums Tanzania Je yawezekana siku Moja akatokea Rais akaomba kukaa pembeni kisa suala la Afya?

    Mwaka wa maajabu huu, tusubiri kuona lipi linaanza kati ya hilo au Elnino
  5. K

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM, Mawaziri, Askari polisi, mawakili na wanasheria wa serikali na viongozi wengine wa kiserikali; Jifunzeni kwa Hamis Kingwangwala

    Yeye anazodolewa kwasababu amesaliti imani aliyowalisha hao aliowaleta na kuwatengeneza. Ni sawa na muhubiri anayekana mahubiri yake mwenyewe kwa vitendo lazima waumini wenye akili watamshangaa
  6. K

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM, Mawaziri, Askari polisi, mawakili na wanasheria wa serikali na viongozi wengine wa kiserikali; Jifunzeni kwa Hamis Kingwangwala

    Pesa huisha, mwanzo nilikuwa na fikra kama hizi ila baada ya kusoma kwa tafakuri maandishi yake; huyu bwana inaonekana hata hela zimemkimbia kwasababu ukiwa na hela dunia hii hukosi marafiki wenye hela pia
  7. K

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM, Mawaziri, Askari polisi, mawakili na wanasheria wa serikali na viongozi wengine wa kiserikali; Jifunzeni kwa Hamis Kingwangwala

    Huyu si humuhumu wanasema alishakula boda ku cross the boda?
  8. K

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM, Mawaziri, Askari polisi, mawakili na wanasheria wa serikali na viongozi wengine wa kiserikali; Jifunzeni kwa Hamis Kingwangwala

    Wewe jifunze kwa kina Makongoro Nyerere, Madaraka Nyerere wanavyoishi maisha ya kawaida yasiyo na tamaa ya madaraka wala kujali kwamba Mzee wao aliwaongoza wazalendo wa wakati huo kupigania uhuru wa Taifa hili kwa ajili ya watanzania wote na si kulifanya Taifa kuwa mali ya familia
  9. K

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM, Mawaziri, Askari polisi, mawakili na wanasheria wa serikali na viongozi wengine wa kiserikali; Jifunzeni kwa Hamis Kingwangwala

    Ndugu Hamisi Kingwangwala ni somo tosha kwa wabunge wa ccm kwasababu aliwahi kuwa mbunge; Ni darasa kwa mawaziri wa sasa kwasababu aliwahi kuwa waziri, Ni elimu inayoishi kwa kila kiongozi wa serikali anayedhani nafasi aliyonayo ataishi nayo milele, Ni fundisho kwa wote wanaodhani kwamba...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Swala alionekana anakimbia Kama kichaa!! Tembo akahamaki

    Mpaka leo code imekosa wa kuifungua Pengine kisa hiki kinawahusu marope na kiongozi wa nyumba kumi
  11. K

    JamiiForums Tanzania Odemba hayuko analytical kama Khalifa wa The Chanzo

    Niliwahi kusema mahali kwamba hata yule Charles wa wasafi ukimuweka na Odemba, Charles yuko vizuri zaidi kwenye kuuliza maswali kuliko Odemba Kinachombeba Odemba ni ule "ung'ang'anizi" wake wa swali kwa mtu anaye hojiwa lakini bado anatakiwa kujinoa zaidi
  12. K

    JamiiForums Tanzania SOLOMON MAHLANGU NA LEGACY ALIYOICHA AFRIKA

    Mambo yamebadilika sana kizazi hiki Ukiwasikiliza wanajinasibu kuwa vijana ndio nguvu ya Taifa utafikiri hizo nguvu wanazo kweli CCM imefanikiwa kwa kiwango kikubwa sana "kuwaua" vijana! Haijawaua kimwili lakini imewaua kifikra na kijasiri Ukisoma historia ya wapigania uhuru wengi wa Afrika...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Ile imani yangu na uelewa wangu wa utotoni kuhusu "wanajeshi" na "Majaji(Hakimu)" sasa naweza kuuthibitisha

    Nikiwa mdogo kama walivyo watu wengi kuna mambo unakuwa huyaelewi elewi na kadiri unavyokuwa ndivyo unavyoendelea kupata ufahamu Nikiwa mdogo nadhani hadi umri wa kidato cha Pili (hapa sio mdogo tena hii ilikuwa imani) tungegombana endapo ungeniambia "nafaa" kuwa mwanajeshi au uniambie nikiwa...
  14. K

    JamiiForums Tanzania In Tz activism activismus pro justitia was hitherto executed with profound peritia and modus operandi of erudite professionalism until circa 2022

    Hata yule wanayemuita sijui Mjomba mwenye herufi baada ya "S" naye hujitetea sana kwa kulambalamba midomo hivi hivi kama unavyofanya wewe wanapomwambia ukweli. Sijasema wewe ni yeye ila ndege wanaofanana huongea lugha moja
  15. K

    JamiiForums Tanzania Katambi ampa onyo kali Afande Sele. Hatufanyi mzaha

    Awamu hizi mbili hasa hii ya sasa imejua sana kudogosha vyeo vya viongozi wa serikali Siku hizi hakuna mtu anatishika na kauli za waziri wa mambo ya ndani hata kama ni za amri kwasababu vyeo vyao wamevifanya kuwa vya mambo yasiyoeleweka. Hii inaondoa hadhi ya kiuongozi Kwa mfano, hizi drama...
Back
Top Bottom