Mimi naona nilifaulu kwa kubahatisha darasani! Hapa haujaeleweka
Huku ni kujificha kwenye kivuli cha "muungano wa kipekee" kwa kuuficha ukweli
Ki ukweli muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni janja janja tu ya kisiasa na ipo siku hii janja janja itaisha
Kwanini kila nchi isi handle madaraka...
Kuna muda ukifuatilia mambo yanayofanywa na viongozi wa nchi hii unaweza kupata mgagaziko wa moyo na unaweza kuwaombea mabaya yawakute; yaani hao magaidi halisi wawafanyie tukio moja tu wao na familia zao ili wajue gaidi anafananaje na shughuli zake ni zipi
Nikiwafikiria wale wahadhiri wa...
Huenda washauri wa Rais wameamua kukubali ombi la TEC kipindi hiki kwasababu zao za kisiasa kwa hali wanayopitia
Hata hivyo, ni vema wakazichanga karata zao sawa kwasababu hawa TEC pamoja kwamba wanaweza kuwa na mitazamo tofauti (kama binadamu wengine; mfano mzuri Cardinal Pengo aliwahi kuwa...
Tusiharakishe mambo, TEC imejaa wasomi wa kweli na daima wasomi wa kweli huwa hawapelekeshwi na mihemko ya watu
Kama waliyojadiliana yanafaa kuja kwa public watayaleta, na kama ni mambo yaliyopaswa kubaki ndani hamtakaa mjue walichoongea
Hiyo ndio sifa ya wasomi wa kweli ukiwaondoa wale wa...
Umeandika vitu vingi sana vya muhimu, lakini chanzo cha yote hayo ni mfumo mbovu wa kuwalipa watoa huduma
Kuna wakati niliwahi kwenda eneo la biashara ya vinywaji (Bar) nikachangamkiwa na kuhudumiwa kwa bashasha hadi nikafurahi na kuwasifu wahudumu wale,
Hivi karibuni nikiwa Morogoro nilienda...
Tundu Lisu alipigwa risasi zisizohesabiki hadi leo amekuwa kilema, hao wananchi hawakufanya kitu
Tundu Lisu amekamatwa mara kadhaa, amewekwa gerezani mara kadhaa na sasa yupo gerezani kama mahabusu kwa zaidi ya mwaka; hao wananchi wamefanya nini hadi sasa?
Tarehe 29 October, 2025 vyuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.