Recent content by Kiranja wa jamii

  1. K

    JamiiForums Tanzania Mrejesho juu ya swala langu la ukosefu wa nguvu za kiume

    hauko serious au la bado uko under age, hilo swali aliyetakiwa kulijibu ni aliyekupa hayo majibu
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Na Rais naye je? au ni mwenyekiti wa mtaa yule?
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Mimi naona nilifaulu kwa kubahatisha darasani! Hapa haujaeleweka Huku ni kujificha kwenye kivuli cha "muungano wa kipekee" kwa kuuficha ukweli Ki ukweli muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni janja janja tu ya kisiasa na ipo siku hii janja janja itaisha Kwanini kila nchi isi handle madaraka...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Kuna wakati niliwahi kuuliza hili swali mahali kuhusu kila nchi ku surrender uhuru wake kuunda muungano, kumbe ndo ugaidi huu?
  5. K

    JamiiForums Tanzania Nchemba ?

    Maelezo mareeefu, twambieni sababu za kuwakumbuka leo na wala sio jana au juzi
  6. K

    JamiiForums Tanzania Serikali inekana inautamani sana ugaidi maana sio kwa kesi hizi wanazo tupiwa hawa watu wawatu ambao hawajui hata majina ya bunduki.

    Kuna muda ukifuatilia mambo yanayofanywa na viongozi wa nchi hii unaweza kupata mgagaziko wa moyo na unaweza kuwaombea mabaya yawakute; yaani hao magaidi halisi wawafanyie tukio moja tu wao na familia zao ili wajue gaidi anafananaje na shughuli zake ni zipi Nikiwafikiria wale wahadhiri wa...
  7. K

    JamiiForums Tanzania This is Zambia not Tanzania. Walotumwa kuharibu Uchaguzi Wafukuzwa

    Wewe akili hauna kichwani kumejaa matope
  8. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Padre Kitima Awataka Watanzania Kuwa na Imani na Ujumbe wa Maaskofu, Ataka Utulivu Katika Mkwamo wa Kisiasa

    Huenda washauri wa Rais wameamua kukubali ombi la TEC kipindi hiki kwasababu zao za kisiasa kwa hali wanayopitia Hata hivyo, ni vema wakazichanga karata zao sawa kwasababu hawa TEC pamoja kwamba wanaweza kuwa na mitazamo tofauti (kama binadamu wengine; mfano mzuri Cardinal Pengo aliwahi kuwa...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Baada ya tamko la maazimio ya kikao kati ya Mababa Askofu na Rais Samia,Sasa nashauri Samia awaite ccm wadai katiba mpya na maaskofu tuiteni Catholics

    Tusiharakishe mambo, TEC imejaa wasomi wa kweli na daima wasomi wa kweli huwa hawapelekeshwi na mihemko ya watu Kama waliyojadiliana yanafaa kuja kwa public watayaleta, na kama ni mambo yaliyopaswa kubaki ndani hamtakaa mjue walichoongea Hiyo ndio sifa ya wasomi wa kweli ukiwaondoa wale wa...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Civilian-Coin: Kuna Rais atajiudhuru Urais hapa Afrika Mashariki.

    Labda huko kwingine lakini sio hapa Malawi, kama oktoba 29 ilipita na inaelekea kusahaulika hakuna wakujiuzulu hapa
  11. K

    JamiiForums Tanzania Serikali Kuharakisha Leseni za Walimu, Madalali na WAendesha Guta za umeme zisizo na namba plate!

    "...hapa serikali itapata mapato makubwa..." Kwa kutimiza lengo hilo sawa, lakini sio kusema leseni ndo itawapa heshima walimu. Big No
  12. K

    JamiiForums Tanzania "Chenji Tumeishiwa, Chukua Pipi" — Huduma Mbaya kwa Wateja Tanzania, Tuzungumze

    Umeandika vitu vingi sana vya muhimu, lakini chanzo cha yote hayo ni mfumo mbovu wa kuwalipa watoa huduma Kuna wakati niliwahi kwenda eneo la biashara ya vinywaji (Bar) nikachangamkiwa na kuhudumiwa kwa bashasha hadi nikafurahi na kuwasifu wahudumu wale, Hivi karibuni nikiwa Morogoro nilienda...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mwanaume wa kubadilisha naye mawazo

    Sasa hapo mbona kama wewe ndo unatakiwa uwe na chanzo cha fedha za kumuhudumia?
  14. K

    JamiiForums Tanzania Si mnajimwambafy kuwa hii nchi ni ya kwenu. Fanyeni madhara yoyote kwa John Heche au Tundu Lissu halafu muone kitavyonuka

    Tundu Lisu alipigwa risasi zisizohesabiki hadi leo amekuwa kilema, hao wananchi hawakufanya kitu Tundu Lisu amekamatwa mara kadhaa, amewekwa gerezani mara kadhaa na sasa yupo gerezani kama mahabusu kwa zaidi ya mwaka; hao wananchi wamefanya nini hadi sasa? Tarehe 29 October, 2025 vyuma...
Back
Top Bottom