Sasa unategemea nini kama vijana wanaona wanaume/wababa wengi wa kuwaiga ni wale walegevu legevu wanao-lack strong characters, morality and values. Inasikitisha lakini lazima nao waishie kuwa kama hao wengi.
You missed the point.
Mtoa mada amemaanisha kwamba usimuonyeshe kila mtu kwamba ndani uko hoi na sio usimuonyeshe muhusika. Mf. kama una matatizo yako nyumbani usiruhusu kila utakaekutana nae nje ya nyumbani kwako ang'amue hilo. Sio unamnunia/mlilia kila mtu.
OURS. .
Sema kuna watu ambao ni extremely selfish, kwao hamnaga chetu, yetu wala zetu. Kila kitu ni changu, yangu, zako, chako. Kwahiyo inakuwa ngumu kwa wao kukubali chao kiwe cha wote, wanabaki kuact kama vile bado wako single.
Wasalam.
Mimi ni mdada naishi Arusha na nnasoma chuo,ada najilipia na nina mtoto mdogo. Nna msichana wangu wa kazi anaetokea Busaka iko Chato Geita. Huyu binti aliishia form 2 baada ya kukosa ada. Japo alikuwa na nia ya kusoma mazingira ya kwao ni magumu. Kwenda shule ndo abahatishe, hata...
Swala la kuwa "bendera fuata upepo" sio la watoto tu, hata watu wazima wapo wanaofuata mkumbo sana tu. Na watoto wapo wengi tu wenye misimamo wasioiga iga mambo hovyo, niliwahi kuwa mmoja wao.
Binafsi naamini mtu wa kupotoka atapotoka tu hata awe na marafiki wazuri namna gani, maana...
Kama mumewe hajamkataza acha avae, pengine wote wanapenda.
Binafsi sidhani kama kuna umuhimu wa mtu kukereka na mavazi ya mtu mwingine ambae hamhusu hata kidogo (sio mke, ndugu wala rafiki yako) maana kila mtu na mambo yake. Wewe unayoyaita maadili pengine mwenzio hayajui wala hayamhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.