Jamani naomba kama unakitu cha ushauri kwa huyu mtu msaidie mm ntamfikishia yeye ajue cha kufanya kama unaona hapa aibu nifate pm lakini liwe la kumsaidia
Mkuu sina huo uwezo mimi nitamsaidia kwenda kanisan tuu lbda kma nmwambie hii kitu aende yeye ila huo ujasiri nautoa wapi [emoji23][emoji23][emoji23] Daahhh eti ukapigwe bomba
Mkuu unafikifiri sina kazi za kufanya na kutulia kuandika hii kitu bure kama huna cha kumsaidia huyu mtu pita kushoto acha walioguswa watoe neno kwa ajili yake
Mkuu ukisoma vizuri nimesema hata kumgusa niliogopa nilibaki kimyaaa kama dakika 5 nzima namtazama yaani niliona kama giza la ghafla usoni kuna hbari ukipewa sijawahi kuwaza zinachanganya hivi
Jamani mimi sio mwandishi mzuri mtanisamehe ila ntajitahidi kuandika kwa namna nitakavyoweza
Jana nilikaa mahali fulani akaja kijana ambae ni 25yrs age sina hakika kamili na age yake ni kijana ambae niko nae mtaani i mean tunafahamiana japo sio mtu wangu wa karibu jina sitamtaja, alinikuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.