Ni neema ya Mungu pekee ndio iokoayo. Huyu mama atubu dhambi zake zote na Mungu atamsamehe na kumweka huru kutoka kwenye kifungo Cha laana lilichosimama juu yake. Na kabla hajaingia kuomba toba kwa Mungu huyu Samia anapaswa naye kwanza kuwasamehe wote waliomkosea na ahakikishe pia wale wote...
Ndio mbinu za serikali ya ccm kukamata taasisi za kidini kijanja kwa manufaa yao Ili wabaki madarakani. Ila Kwa TEC wamevutiwa handbrake. Kwa KKKT Malasusa ndio anatumika vibaya naye akanasa. Utahubirije amani bila haki? Na Malasusa ni ngumu sana kwake kutamka neno haki Kila anapoalikwa kwenye...
Yote hii ni ktk kukabiliana na madhara ya kauli ya "WHO ARE YOU" baada ya misaada na mikopo kuondolewa na hao walioambiwa Who are you! Hivyo serikali Haina fedha za kuendesha nchi kimaendeleo. Tutarajie maumivu makubwa sana kiuchumi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.