Recent content by Kipondo Cha ugoko

  1. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Kaka Yangu Nchimbi, kuwa makini sana. Unakumbuka siku tumekutana ukumbi maarufu Bangkuntien Brasilia?

    Hivi britanicca ni nani?? Mbona ilisemekana ni polepole lkn polepole kapitea lkn britanicca bado yupo?
  2. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Leo nimemwona Mwandambo Daah! Mpaka nimelia. Nimesikitika Sana

    Yani mi naona kuliko kuswitch upande watu waliokuzoea nao Bora ukae kimya kama unaona umebanwa sana. Kunavitu vya kuswitch na visikuletee impact mbaya mf: mpira, mziki,chakula nk. Lkn sio siasa. Jamaa mmoja aliwahi kusema msalti(kukosa msimamo) hupoteza Imani pande zote. Yani anakosa Imani...
  3. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Leo nimemwona Mwandambo Daah! Mpaka nimelia. Nimesikitika Sana

    Kwenye maisha msimamo ni kitu Cha muhimu sana,ukiamua kusimamia kitu basi simama nacho hata kama unakumbana na challenge.
  4. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Daktari amempiga hadi kuzirai Muuguzi mwenzetu, hakuna hatua zilizochukuliwa. Waziri wa Afya, TAMISEMI tunaomba msaada

    Shida nyie manesi mnakuwaga na madharau na ujeuri, hamjali wagonjwa na mnafanya kazi zenu chini ya ufanisi( japo sio wote) Taja sababu za kuzabuliwa makofi huyo muuguzi
  5. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Hotuba za Rais Samia Suluhu kimataifa zinatuheshimisha watanzania, lazima UN watafanya nae kazi baada ya Urais kuisha

    Kama unafanya joking sawa! Lkn kama uko serious basi wewe jamaa ni hatari sana kwa usalama na ustawi wa nchi hii.
  6. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Jonathan Abayo: Mkuu wa Shule ya Sekondari Nyamakokoto ambaye ni role model wa wakuu wote wa shule wilayani Bunda

    Teacher naona umechoka kuchezea chack sasa unajipigia chapua ili wakuone one kwenye teuzi. Hongera sana idea nzuri .
  7. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Tusema wewe ndiye Rais Samia, ungejibuje swali hili?

    Sisi tufunge mikanda lkn kwao milo mitatu kama kawaida aisee sio kweli.
  8. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Tusema wewe ndiye Rais Samia, ungejibuje swali hili?

    Haya ni maneno ya kujifariji, habari za kufunga mikanda sisi wananchi hatuzitaki zama hizi, tunataka maisha Bora sio maisha ya kushindia mkate kisa mtu mmoja
  9. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Boss wa Wasiojulikana kamnyoshea mikono juu Askofu Gwajima?

    Kiukweli gwajima anavyoonekana anapitia kipindi kigumu sana pengine kuliko kipindi chochote. Fikiria unawindwa kuuwawa na unajua hilo" Na sijui jamaa wanashindwa vipi kumpata wakati anaonekana hadharani muda mwingi. Ushauri wangu kama kweli wanamuwinda Gwajima kumtoa uhai basi hilo litakuwa...
  10. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Kigogo wa NRM Agro Limited na wenzie 10; Mahakamani kwa makosa ya dawa za kulevya

    Ndio maana mm nawambiaga vijana tuache tamaa na vya watu. usione watoto wadogo wanasukuma mandinga makari ukajiona wewe umechelewa, hao wenzio ni Marisk take's hawaoni shida kufanya lolote ilimradi waishi kifahari.
  11. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Huyu Simai katumwa?-The Zanzibari Collusion

    Umewaza kama Mimi, sisi twendelee kulala usingizi mzito siku tukiamka hatuna chetu....!
  12. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Huyu Simai katumwa?-The Zanzibari Collusion

    Nyie si bado mko usingizini ngoja wazenji wawapelekeshe.
  13. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Watanzania majembe wanaommaliza Samia huko US

    Nikajua anatokea kaskazini, kumbe mbeya?
  14. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Hawa wanatupanga, hakuna ugomvi wala nini

    Huwawezi kutengeneza kiki inayohatarisha usalamu wa taifa tumia akili na wewe
Back
Top Bottom