Hapo kwenye hawahongeki ndo nimechoka kabisa.
Rushwa Iko kwenye DNA ya mbongo mkuu na hii sio kulaumu viongozi maana ni tatizo linaanzia kwenye familia zetu.
Kiufupi kuibadilisha hii nchi inahitaji kazi ya ziada vinginevyo labda huijui hii nchi vzr
Ila nyie watu wa dini Ile kwa propaganda tu hamna mpinzani. Bahati nzuri wazungu washawajua nyie ni mwanamke kijora...! Maneno meeeengi bila vitendo
Wao wanapiga mwizi kimya kimya. Kipigo kikikolea utaona wanavyoanza kutia huruma na hashtag za free Iran
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.