Recent content by Kipondo Cha ugoko

  1. Kipondo Cha ugoko

    'Wasomi' Wanawaachia Watoto Wao Umaskini Kisa Kulisha Ndugu Wenye Watu Wazima Wavivu?

    Usiongee ukamaliza akiba ya maneno ni muhimu mkuu.
  2. Kipondo Cha ugoko

    Addo November: Irene Robert amekutwa Hotelini akiwa mtupu

    Mimi mwenyewe nimeshangaa kwa kweli
  3. Kipondo Cha ugoko

    Inakuaje viongozi wa Iran wanauawa sana, ni kwamba hawawezi kujilinda au wanafeli wapi ?

    Hiki kigongo weka mbali na watoto. Mkuu kina kigongo Gani kikali kuliko hiki?
  4. Kipondo Cha ugoko

    Gharib Mzinga apunguze kutoa historia kwenye mechi, atangaze mechi bhana

    Acha wivu wewe. Watu wengi wamemjua na kumpenda kwa sababu hiyo unataka aache identity yake? We vipi bana...!!
  5. Kipondo Cha ugoko

    Heche adai mahakama inatumika kumkandamiza Lissu

    Tabzav Tanzania hamna mahakama bana wale ni CCM wamejivika majoho
  6. Kipondo Cha ugoko

    Ukikamatwa na Afisa wa LATRA barabarani, tulia kama unanyolewa. Sheria imewapa nguvu sana

    Hapo kwenye hawahongeki ndo nimechoka kabisa. Rushwa Iko kwenye DNA ya mbongo mkuu na hii sio kulaumu viongozi maana ni tatizo linaanzia kwenye familia zetu. Kiufupi kuibadilisha hii nchi inahitaji kazi ya ziada vinginevyo labda huijui hii nchi vzr
  7. Kipondo Cha ugoko

    Iran yamuua Rabi mkuu wa Israel

    Mashekhe wa goba kwa Awadhi kwenye ubora wao, Aisee nyie watu kwa propaganda nakuinulieni mikono
  8. Kipondo Cha ugoko

    Tetesi za kuuliwa Netanyahu zazidi kushika kasi

    Ila nyie watu wa dini Ile kwa propaganda tu hamna mpinzani. Bahati nzuri wazungu washawajua nyie ni mwanamke kijora...! Maneno meeeengi bila vitendo Wao wanapiga mwizi kimya kimya. Kipigo kikikolea utaona wanavyoanza kutia huruma na hashtag za free Iran
  9. Kipondo Cha ugoko

    Kuna mtego Iran anaingia pasipo kujua

    Mzungu sio fala- hii kauri mtaielewa siku moja
  10. Kipondo Cha ugoko

    Hivi kusudi la maisha ni nini?

    Swali hili ukijiuliza sana hautaona thamani ya maisha.
  11. Kipondo Cha ugoko

    Padri Charles Kitima ana chuki binafsi na Rais Samia na amekosa adabu na heshima kwa Rais. Rais Alifanya vyema sana kuondoka Kanisani bila kuzungumza

    Vitu vingine bana vya kipuuzi kinoma ungekuwa wewe ndo kitima kwa alichofanyiwa ungempenda huyo mama yako??
Back
Top Bottom