Yani mi naona kuliko kuswitch upande watu waliokuzoea nao Bora ukae kimya kama unaona umebanwa sana. Kunavitu vya kuswitch na visikuletee impact mbaya mf: mpira, mziki,chakula nk. Lkn sio siasa.
Jamaa mmoja aliwahi kusema msalti(kukosa msimamo) hupoteza Imani pande zote. Yani anakosa Imani...
Shida nyie manesi mnakuwaga na madharau na ujeuri, hamjali wagonjwa na mnafanya kazi zenu chini ya ufanisi( japo sio wote)
Taja sababu za kuzabuliwa makofi huyo muuguzi
Haya ni maneno ya kujifariji, habari za kufunga mikanda sisi wananchi hatuzitaki zama hizi, tunataka maisha Bora sio maisha ya kushindia mkate kisa mtu mmoja
Kiukweli gwajima anavyoonekana anapitia kipindi kigumu sana pengine kuliko kipindi chochote. Fikiria unawindwa kuuwawa na unajua hilo"
Na sijui jamaa wanashindwa vipi kumpata wakati anaonekana hadharani muda mwingi. Ushauri wangu kama kweli wanamuwinda Gwajima kumtoa uhai basi hilo litakuwa...
Ndio maana mm nawambiaga vijana tuache tamaa na vya watu. usione watoto wadogo wanasukuma mandinga makari ukajiona wewe umechelewa, hao wenzio ni Marisk take's hawaoni shida kufanya lolote ilimradi waishi kifahari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.