Heshimu taaluma za watu, kumbe wewe ni kama Mimi hujui chochote kuhusu Sheria, sasa kaa kwa kutulia maana aliewataka hao watu ni msomi wa Sheria na wakili.
Mimi na wewe tusubilie tupate darasa. Tupunguze ujuaji kwa vitu tusivyokuwa na taaluma navyo.
Ila Kuna watu ni wajinga sana, hivi unapomtishia mwenzio kifo unadhani wewe hautakuwa kwenye hilo fungu la kifo? Tena Bora mwenzio atakufa kifo Cha kishujaa ambacho kitabakia ktk historia Daima. Tufupishe tu hakuna mtu wa kumnyonga Lissu.
Lissu aliwasaidia sana watanzania kujua aina ya wapinzani wanaowaamini.
Mimi mwenyewe nilikuwa nabisha kwamba mbowe hawezi kuwa dalali, kumbe bwana ni bonge la dalali sasa limeamua kujitokeza wazi wazi.
Mi naona mawakili wa serikali wakikata rufaa kuomba hao mashahidi wasiende kizimbani, Then hako ka rufaa kanachukua muda fulani lengo ni kubay time na kwendele " kumkomoa" Lissu mana ndiyo lengo lao kuui.
Fanyeni yote lkn hakikisheni 2030 Kunakuwa na uchaguzi huru na wa haki, vyama vyote vifanye kampeini kwa usawa na vishindane kwenye sanduku la kura kwa haki.
Ushauri tu: ukiingia kwenye ofisi za watu jifunze kufuata taratibu, sio eti kisa umemuona mtu flani pale offsini mnaefahamiana unajifanya hutaki kufuata utaratibu kwa kutegemea akupendelee(Tabia ya kijinga sana)
Kwa mfano umeenda mahari ukakuta Kuna foleni ndefu ya wenzio wakisubilia huduma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.