Ushauri tu: ukiingia kwenye ofisi za watu jifunze kufuata taratibu, sio eti kisa umemuona mtu flani pale offsini mnaefahamiana unajifanya hutaki kufuata utaratibu kwa kutegemea akupendelee(Tabia ya kijinga sana)
Kwa mfano umeenda mahari ukakuta Kuna foleni ndefu ya wenzio wakisubilia huduma...
Nchi hii imeoza kwa Rushwa hakuna idara yoyote yenye unafuu.
Sio raia wa Hali ya chini wala wa juu wote wameoza. Kubadilisha mindset ya watanzania kuacha tabia ya wizi na urafi inahitajika nguvu ya ziada
Wewe sasa umenielewa vzr sana. Nilitamani niandike kwa urefu lkn mm ni mvivu wa kuandika.
Kwa sasa Chadema Iko sehemu nzuri sana wananchi wanaikubali na kuiunga mkono vibaya mnooo....! Wasiruhusu kabisa kuwapa CCM propaganda za kuwapa unafuu. Huu uzushi kama Chadema wasipoupa usurious utakipa...
Salamu wakuu!
Niende kwenye mada:nimekuwa nikiwafatilia wale wanaojiita viongozi wa CHADEMA kutoka Kanda mbali mbali ambao wamejitokeza kumshambulia direct makamu wa CHADEMA John Heche kwa tuhuma za kula pesa ya tone tone.
Wazungumzaji hao inaonesha hawana ushahidi wa madai ya kile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.