Recent content by Kipondo Cha ugoko

  1. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Unaita mashahidi ambao unajua fika watakukandamiza. amakweli Lisu kachanganyikiwa.

    Sasa wewe ndio umefafanua vzr lengo la Lissu
  2. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Unaita mashahidi ambao unajua fika watakukandamiza. amakweli Lisu kachanganyikiwa.

    Heshimu taaluma za watu, kumbe wewe ni kama Mimi hujui chochote kuhusu Sheria, sasa kaa kwa kutulia maana aliewataka hao watu ni msomi wa Sheria na wakili. Mimi na wewe tusubilie tupate darasa. Tupunguze ujuaji kwa vitu tusivyokuwa na taaluma navyo.
  3. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche kuendelea kutoa ushahidi Mahakamani Sept. 11. 2026

    Nani aliewaua watoto wetu??
  4. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Unaita mashahidi ambao unajua fika watakukandamiza. amakweli Lisu kachanganyikiwa.

    Ila Kuna watu ni wajinga sana, hivi unapomtishia mwenzio kifo unadhani wewe hautakuwa kwenye hilo fungu la kifo? Tena Bora mwenzio atakufa kifo Cha kishujaa ambacho kitabakia ktk historia Daima. Tufupishe tu hakuna mtu wa kumnyonga Lissu.
  5. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    Kwa Nini usipate info?
  6. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Bila kuwachafua wenzake kwa shutuma za uongo Lissu asingeshinda uwenyekiti

    Lissu aliwasaidia sana watanzania kujua aina ya wapinzani wanaowaamini. Mimi mwenyewe nilikuwa nabisha kwamba mbowe hawezi kuwa dalali, kumbe bwana ni bonge la dalali sasa limeamua kujitokeza wazi wazi.
  7. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Mi naona mawakili wa serikali wakikata rufaa kuomba hao mashahidi wasiende kizimbani, Then hako ka rufaa kanachukua muda fulani lengo ni kubay time na kwendele " kumkomoa" Lissu mana ndiyo lengo lao kuui.
  8. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Ktk kosa watafanya hao jamaa ni kukubali kwenda mahakamani. Naona kabisa Kuna dalili za watu kuaibishwa na kufedheheshwa.
  9. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Jamaa ni katiri sana, hata ukimuona tu alivyo
  10. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Aina 15 Za Simu Zinazo Ongoza Kwa Mauzo Kariakoo Mbaka Sasa

    Huo ndio ukweli, mtoa mada aache kujikweza
  11. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Vurugu za Oct29 hazitokani na madai ya Katiba mpya. Tusichanyanye mambo hapa

    Fanyeni yote lkn hakikisheni 2030 Kunakuwa na uchaguzi huru na wa haki, vyama vyote vifanye kampeini kwa usawa na vishindane kwenye sanduku la kura kwa haki.
  12. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Watanzania tumuombee Nchimbi: sasa naelewa mtifuano ndani ya CCM ni ukombozi kwa Taifa

    Akitoka tu chap wanamkamata na kumpa kesi nzito ya kumpoteza. Apambane humo humo ndani ya mfumo
  13. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Mshahara Laki Saba Unajifanya Hunitambui Ofisini? Baba Omary Siku Yako Inakuja

    Mimi mkuu nimesoma katikati ya line ya mtoa mada nikajua tu huyu alitaka kuleta uswahili jamaa kamkataa, wabongo wengi hatupendi kufuata utaratibu
  14. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Mshahara Laki Saba Unajifanya Hunitambui Ofisini? Baba Omary Siku Yako Inakuja

    Ushauri tu: ukiingia kwenye ofisi za watu jifunze kufuata taratibu, sio eti kisa umemuona mtu flani pale offsini mnaefahamiana unajifanya hutaki kufuata utaratibu kwa kutegemea akupendelee(Tabia ya kijinga sana) Kwa mfano umeenda mahari ukakuta Kuna foleni ndefu ya wenzio wakisubilia huduma...
Back
Top Bottom