Recent content by Kipondo Cha ugoko

  1. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Watanzania tumuombee Nchimbi: sasa naelewa mtifuano ndani ya CCM ni ukombozi kwa Taifa

    Akitoka tu chap wanamkamata na kumpa kesi nzito ya kumpoteza. Apambane humo humo ndani ya mfumo
  2. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Mshahara Laki Saba Unajifanya Hunitambui Ofisini? Baba Omary Siku Yako Inakuja

    Mimi mkuu nimesoma katikati ya line ya mtoa mada nikajua tu huyu alitaka kuleta uswahili jamaa kamkataa, wabongo wengi hatupendi kufuata utaratibu
  3. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Mshahara Laki Saba Unajifanya Hunitambui Ofisini? Baba Omary Siku Yako Inakuja

    Ushauri tu: ukiingia kwenye ofisi za watu jifunze kufuata taratibu, sio eti kisa umemuona mtu flani pale offsini mnaefahamiana unajifanya hutaki kufuata utaratibu kwa kutegemea akupendelee(Tabia ya kijinga sana) Kwa mfano umeenda mahari ukakuta Kuna foleni ndefu ya wenzio wakisubilia huduma...
  4. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Mamlaka Zote Zinatoka Kwa Mungu Mwenyewe. Huwezi Kuwa RAIS Kama Haijapangwa Na Mungu. Urais Wa Rais Samia Umetoka Kwa Mungu Mwenyewe

    Sijasoma ulichokiandika nimeishia kichwa Cha habari tu. Usisahau hata shetani anatoa mamlaka!
  5. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Confession: Juu ya kulala na wake za watu

    Huwezi kuacha kama hakijakukuta kitu, siku ukiingia kwenye kumi 18 Ndio utaacha mwenyewe bila ushauri wa mtu yoyote.
  6. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Heche kuendelea kuwepo ofisini licha ya kashifa za ubadhirifu wa mali za chama ni maana halisi ya Siasa biashara

    Project imeshafell wahuni wamekula hela, watu wanakufa mahospitalini kwa kukosa tiba, hela inapelekwa kuhonga wahuni wamng'oe Heche
  7. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Kama Chadema hawataki Maridhiano CCM sii iliriadhane na Vyama 18 vilivyopo. Kuna haja gani ya kumsubiria "Mwenzao" waliyemfunga

    Nguvu ya Chadema kwa sasa ni kubwa sana, in short Maridhiano bila Chadema haiwezekani( huo ndio ukweli mchungu)
  8. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Ishu za Madawa Tanzania mara 100 omba ukamatwe na polisi ila sio DCEA unapotea chap

    Nchi hii imeoza kwa Rushwa hakuna idara yoyote yenye unafuu. Sio raia wa Hali ya chini wala wa juu wote wameoza. Kubadilisha mindset ya watanzania kuacha tabia ya wizi na urafi inahitajika nguvu ya ziada
  9. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania From Ukonga Prison: Tundu Lissu atoa taarifa kuwa yupo katika tishio la kuuawa!!

    Kwa sasa sidhani kama Samia anaweza kufanya kosa hilo
  10. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi: Hakuna sheria inayotengua Katiba. Watanzania pambaneni kupata Katiba mpya

    Kuna kitu, ngoja twendelee kuwa rada
  11. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Lema umeamua kuwasaidia CCM kwenye propaganda ya kukigawa chama?

    Wewe sasa umenielewa vzr sana. Nilitamani niandike kwa urefu lkn mm ni mvivu wa kuandika. Kwa sasa Chadema Iko sehemu nzuri sana wananchi wanaikubali na kuiunga mkono vibaya mnooo....! Wasiruhusu kabisa kuwapa CCM propaganda za kuwapa unafuu. Huu uzushi kama Chadema wasipoupa usurious utakipa...
  12. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Lema umeamua kuwasaidia CCM kwenye propaganda ya kukigawa chama?

    Salamu wakuu! Niende kwenye mada:nimekuwa nikiwafatilia wale wanaojiita viongozi wa CHADEMA kutoka Kanda mbali mbali ambao wamejitokeza kumshambulia direct makamu wa CHADEMA John Heche kwa tuhuma za kula pesa ya tone tone. Wazungumzaji hao inaonesha hawana ushahidi wa madai ya kile...
Back
Top Bottom