Recent content by kipokodo

  1. K

    Hapa Kipanya alikuwa anajaribu kusemaje!!?

    Safar inaishia boda naisi,kwa staili hiii ote naiyooo
  2. K

    Kwa wale waliokata tamaa na mahusiano

    Imenibariki,asante nawe pia weekend njema
  3. K

    Tumbo Kuunguruma wakati wa kulala

    KING KONG III huwa nakunywa na ndo inakua kama nimeongeza petrol kwenye moto,linaongeza makal kbs
  4. K

    Mwanamke kucheka wakati wakufanya mapenzi

    Bora huyo anaecheka kuliko yule anayeng'ata utajuta
  5. K

    Tumbo Kuunguruma wakati wa kulala

    Jaman mm linanguruma asb wakati wa kuamkaaa msaada pls
  6. K

    Ndio mapenzi ya kisasa au ananipotezea muda?

    SHABASHI,MULIKA MWIZI,KAA CHONJO,kusoma hujui ata pichaaa heeeee,!!mwaka ndo huu mgusie ile mipango ya ndoa vp usikie atajibu vp,polee!
  7. K

    Barua ya wazi kwako mpenzi nisiekujua.

    Mm pia nina macho mazuri haswaaa ya mwanamke kua nayoo haujanishawishi,we sema una helaaa nyingii naeza kukufikiriaa,macho mazuri si yakooo,tutakula hayo macho au?
  8. K

    Wanaume: Je mnaweza kum-DATE msichana mwenye Makengeza?

    Kipenda roho hula nyama mbichiii
  9. K

    Wadada nini hiki?

    Hahahahaa eti fagio la buibui,ttzo mkiwa nasi na twende kilion zetu akipita mwenye lace wig unageuka kbs kumuangalia na mm najaribu kusuka weaving litengenezwe kama lace wig basi linakosewaaaa ila inabid ukomae usipitwe na wakati,ila ni shidaaa
  10. K

    Miezi ane wamekaa bila busu wala nini kitanda kimoja

    Kama sio yy yanakuhusu basi huyo alokuhadithia kapata mwanamke nje na anapewa mambo ya kune sinemaa ndo mana anamwambia mkewe akaangalie ya huko apate ujuzi,hayajamkutaa akipata gonjwa hatari atakaaa nyumbani atatuliaa na kumuona mkewe MUNGU wa pili.
  11. K

    Ungekuwa ni wewe mdada ungefanyeje.

    Eiyer ni sawa kwenye uzinzi lkn bora hajaitoa,kwan mtt hana kosaa azaliwe tu,kwani kosa lishatendeka hakuna jinsi na naamin kama ametubu ashasamehewa
  12. K

    Ungekuwa ni wewe mdada ungefanyeje.

    Nachompendea MUNGU atatoa mtt kafanana nae hadi aone hayaa,na atamuhudumia mara atapomuonaa,jipe moyo mkuu wa uvumilivuuu utayashinda,pole
  13. K

    Utafiti simple;jinsi ya kumpima mpenzi wako kama anakupenda

    Hahahaah,kwa kua ni kurudishiana maneno akituma m-pesa 150000 na ww ukituma tigo pesa ivo ivo atajua uaminifu upo atatuma 500000 apo unapotea hewani badae unaomba excuse mtandao ulikua unasumbuaaa
  14. K

    watoto wa kike (baadhi) jifunzeni kudeka kwa wapenzi wen

    Majigo basi kama ni kila siku anafanya ivo kazamiria jifanye unamtania umwambie jaman sauti ii ata hunitegiii,ebu dekaa kidogoo mwenzio nina hamu ya kukuhongaa utaonaaa hahaaaaaa
Back
Top Bottom