Recent content by kipisi

  1. K

    GE2020 Wapinzani hamkujiandaa vyema; mkishindwa msilete nongwa

    Pumbavu kabisa, msaka tonge wewe, huna lolote
  2. K

    GE2020 John Mrema aanza kampeni jimbo la Segerea kwa kuomba michango

    Hapo ndipo mnapokosea, michango inanfanya kiongozi awajibike kwa wananchi, nchi za wenzetu ni kawaida sana kuchangiwa, CCM wanatoa rushwa kuwanunua wapiga kura, wakichaguliwa wanakuwa na kazi ya kurudisha pesa walizotumia, nyie mliopokea rushwa mnaachwa solemba.Naunga mkono wagombea kuchangisha...
  3. K

    GE2020 Kukubalika kwa Rais Magufuli/CCM: Kishindo cha asilimia 99.9% ni mawingu tu ya dalili, mvua ni 2020, ni lele tu, ngoma ni 2020!

    Sidhani kama huyu aliyeandika haya ni Pascal Mayalla, account yake imekuwa hacked,hata kama anajipendeza kwa Magu, asingeweza kuandika Upupu huu.majizi hayana utu na haya hata swahibah wao mrema wamemtenda.kuwa mwanaume sio kuwa na korodani tu bali pia kuwa na misimamo ya dhati.
  4. K

    Video: Uzinduzi wa kampeni za uchaguzi Serikali za mitaa CCM, nchi yatikisika, watu wakanyagana

    Unaonaje kama hiyo pesa inayochezewa kwenye huo uchaguzi wa kipuuzi,ingetumika kununua dawa za Hospital, madawati & ect, ama kweli Tanzania ni nchi ambayo wananchi wake wanapenda Mambo ya kipumbavu
  5. K

    SAKATA la Bombadier: Tundu Lissu ni mmoja wa samaki wadogo. Atutajie zile kubwa

    Wewe mtu sijui umerogwa?, badala ya kumshukuru lissu ndiyo kwanza unalaumu, ww inawezekana ni miongoni mwa yale majizi
  6. K

    Commentary Kuhusu Video ya Tundu Lissu Inayosambazwa

    Am 100% kwamba hufutilia siasa za Tanzania. I can tell you about Magufuli.. Kwanza anataka kuligawa Taifa, ukiwa mpinzani basi unaonekana kama muhaini, labda huyo angekuwa rais kipindi cha kina Nduli Amin sio kwa karne hii, Nepotism hii nayo ni mbaya sana, na mara nyingi madikteta wanatumia...
  7. K

    Wazo: Kuna tatizo la uzalendo Tanzania

    Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazokabiliwa na wananchi wake kukosa uzalendo, kila mtu anapigania nafsi yake. Leo hii watu wanajifanya wanafurahia utendaji kazi wa JPM, wanaenda mbali wanasema Tanzania haijawahi kupata kiongozi mzalendo kama huyu.Nianze na hili then niwe judged kwa haya...
  8. K

    MSEKWA: Hatuhitaji KATIBA MPYA

    hawa ccm tulishasema wamefikia kikomo cha kufikiri, si wazee si vijana, akili zao wote sawa,
  9. K

    Maji aliyoahidi JK zimewekwa rangi za CHADEMA

    Mwanadiwani sidhani kama ni mzima, nilikuwa na mchukia bila sababu.anasema hamna hata senti 1 ya chadema, serikali inapokusanya kodi hajalishi kwamba ww ni ccm au chedema au wasiokuwa na vyama, na hiyo fedha ndiyo inatumika katika hiyo miradi.pole sana mwadiwani sikujua kwamba ww ni kichaa
  10. K

    Madudu ya Uchaguzi Mkuu wa CUF haya hapa

    Sijawahi kuona watu wajinga kama hawa wanajadili mambo ya CUF badala ya mambo ya msingi kama vile gym ya bunge kuitengeneza kwa gharama ya bilion 8, au wiraza ya kilimo kutengewa bilion 51 wakati rais anatengewa bilion 50 kwa ajili ya safari zake, jamani hii kweli ni akili? Halafu mnasema ccm #1...
  11. K

    Wasomi wakutana Karimjee, waazimia kuifuta CHADEMA Vyuo Vikuu

    hawa ni wasomi wasiojitambua, tulitegemea kwamba hawa wasomi ndiyo wangekuwa kioo cha jamii, kumbe ovyoo kabisa, sidhani kama wanakijua hata kitu wanachosoma,
  12. K

    CHADEMA wahaha kusaka mgombea urais 2015

    mtoa mada kapange upya propaganda zako, watanzania ni watu wa ajabu sana, CCM imeshindwa kuongoza nchi, tuna taabika kwa kukosa huduma muhimu za jamii, wakina mama wanakosa sehemu za kujifungulia, watoto wanasoma chini ya miti, barabara ovyo, ufisadi wa kutisha kila sehemu.yaani ni aibu sana...
  13. K

    PICHA za Capt. Komba zenye utata zasambazwa kwenye mitandao ya kijamii!

    pole sana muheshimiwa JOHN KOMBA, hizo ni siasa za chama chako, usilie kaza moyo, kumbuka kwamba mambo haya hayakuanza leo, huko nyuma kulikuwepo na uvumi kwamba unatembea na LULU wa bongo movie, leo hii lingine tena basi jua kwamba una tatizo, KUHUSU kuchafuliwa na maadui zako wa siasa, vp...
Back
Top Bottom