Bajet za mwyaka ya hivi karibun zimekua zinafanana na hazina postive impact kwa taifa
je hawa wanao tengeneza hizi bajet huwa hawafanyi tasmin ya iliyopia? au mawazo yao ndio yanakomea hapo
siokweli kwamba chadema inatumia ubabe na vitisho kudai haki bali wanatumia akili na maalifa
kudai haki ndiomana wanaungwa mkono na mamia ya watu wa kila lika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.