[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] TRA Kuchunguza au kutafuta taarifa ya kibenk, anayo hiyo haki na akizihitaji benk zinalazimika kutoa, But kudisclose directly to the public, sijajua Kisheria kama iko sawa.
Tuahitaji kuona sera madhubuti zenye mwelekeo wa kuleta maendeleo na sio siasa za mipasho zisizo na tija wala mwelekeo wa kuwajali wananchi na wapiga kura wa kinondoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.