Nimeona leo zanzibar wakihaidi kupeleka nyuki ikulu ya Chamwino ili kumlinda mweshmiwa Rais
Hawa wazee wa kimila wanapewa mialiko rasmi ya shughuli kama hizi zinazohusu mkuu wa nchi
Wana msaada gani kwenye taifa hili, Kama ni maadili hawana chochote cha kufundisha vijana wanatupotezea mda tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.