Recent content by Kipato

  1. K

    Ni kweli unaweza kutambua maumbile ya mtu kwa kumwangalia??

    Ni kweli hiyo hali ipo kwa baadhi ya watu, mf:-mimi huwa ninapoongea na mwanamke yeyote yule huwa najua sehemu yake ya siri ipoje kwa kutazama. Mara nyingi sipendi kutazama binti,msichana yeyote kwa muda mrefu coz huwa naona kama ninamchungulia.... Usiogope sana, hiyo hali ipo kwa baadhi ya watu.
  2. K

    Wazazi saa nyingine mnaboa bhana arghh!

    Pole sana kwa hayo yanayokutukia ila napenda kusema kuwa mvumiliu kwani yote ni mapito. Mzazi/wazazi ni kweli wanaboa sana kiasi unaweza kusema ni kwanini ulizaliwa ktk familia hii, wape wanachotaka kwako ili kuwaridhisha haja za mioyo yao. Kama wanakujaribu utajua tu na kama sivyo basi unapaswa...
  3. K

    Mama yangu ni tatizo

    ni huyu pekee mwana jf, yeye anadai huyu ninayemtaka mimi hapana ila yupo ambaye anamtaka yeye.
  4. K

    Mama yangu ni tatizo

    Asanteni kwa hayo yote na nitafanyia kazi mawazo yenu, nashukuru na ninawaombea kwa mungu awajeze mioyo yenu mengi yenye heri. ...........ASANTE............
  5. K

    Mama yangu ni tatizo

    kwa sasa anamiaka 18
  6. K

    Mama yangu ni tatizo

    1.87 my brother 2.89 my sister 3.91 me 4.99 young sister 5.2004 young sister hii ndiyo list ya famiia yangu.
  7. K

    Mama yangu ni tatizo

    lejea ktk maandiko yangu hapo awali ni kwamba nisaidieni kutokana na hili, niachane na mzazi niendelee na mapenzi au nimwache mchumba na nimsikilize mzazi? Tafadhali mawazo yako ni muhimu pia.
  8. K

    Mama yangu ni tatizo

    nashukuru sana brother kwa hayo ila mimi ni imara sana na wala sitetereki isipokuwa ninachohitaji kwenu ni vp nifanye kuhusu mzazi wangu, kwa mwanamke nimepokelewa vizuri tu lkn kwa upande wangu mzazi katia kasoro.
  9. K

    Mama yangu ni tatizo

    tatizo kubwa ni kwamba nipo kwangu na mtu wangu anakuja kwangu ila ktk harakati za kutambulishana ndiyo limetokea hilo tatizo ambalo mzazi wangu ndiye anakataa mimi kuw naye, sisi tunapendana sana tu na kuishi pamoja ni baada ya miezi miwili baadaye na hapo ndipo linakuja tatizo la mzazi.
  10. K

    Mama yangu ni tatizo

    hakutaka kupigana naye isipokuwa alinisubiri nyumbani kwangu baada ya hapo nilielekea nyumbani kujua tatizo nini hasa, lkn hakuna 7bu yoyote ambayo waliitoa.
  11. K

    Mama yangu ni tatizo

    Me ni mtoto wa tatu kuzaliwa ktk familia ambayo mzazi mwenzie alimwachia.
  12. K

    Mama yangu ni tatizo

    kwasasa ana umri wa miaka 40
  13. K

    Mama yangu ni tatizo

    Baba yangu alikufa mwaka 2005 lkn kwasasa mama ameolewa kwa mara ya pili.
  14. K

    Mama yangu ni tatizo

    Wana jf samahani kidogo, mimi ninaishi kwangu na wala sipo nyumbani. Siku ambayo nilikwenda kumtambulisha mama yangu juu ya mwenza niliyenaye ndipo chuki zilianza, awali walikuwa wanapendana sana na wakati huo nilikuwa ninamahusiano naye bila ya yeye mama kutambua na alikuwa anajitahidi sana...
  15. K

    Mama yangu ni tatizo

    Mama yangu ni mnyiaha wa mbozi.
Back
Top Bottom