Yeye anawekaje ushahidi? Kwani ripoti ya CAG inajadiliwa na kujibiwa na Rais. Hii inaonesha dhahiri ulivyo mpumbavu usiejua chochote bendera fuata upepo. Kama JPM ameiba hizo hela atakua amezificha wapi? Ana utajiri aliouacha kutokana na hizo fedha? Amekufa Sasa, si ingekua vizuri hizo pesa...
Haki wanayostahili ndo hiyo wanayolipwa kulingana na mishahara yao waliyostaafia. Hapa kinachotakiwa ni kuangaliwa kwa jicho la huruma kwa kuzingatia hali ya maisha ya sasa.
Usipende kurukia mambo bila kujua limetokea wapi? Magufuli hakujenga tu barabara lake zone, bali amehusika katika kuiunganisha Tanzania kwa barabara za lami akitekeleza ilani ya CCM. Huu ukanda unaotaka kuuleta hapa sisi watanzania hatujazoea, tunachojua nchi ilijengwa kwa kuzingatia vipaumbele...
Dah aisee we mtu unaishi nchi gani? Tanzania hii hii? tokea lini nchi hii ajira zilikua 90% tena kwa watu kufuatwa mavyuoni. Hata kama una mahaba lakini siyo kwa kupotosha umma kiasi hiki.
Mbeya zilipelekwa takribani bilioni 12.8 kwa ajili ya ujenzi wa Barabara na miongoni mwa barabara zilizotengenezwa ni pamoja na;
Barabara ya MUST inayopitia eneo la Viwandani TBL, PEPSI na COCACOLA yenye urefu wa km 2.76,
Barabara ya Sae –Tanesco Kisanji 0.86, Barabara ya Legico mpaka Kanisa...
Hujui
Hujui chochote mbwa koko wewe. unaendeshwa na chuki usipotoshe watu kwa chuki zako binafsi.
Katika kipindi cha miaka mitano ya JPM zilijengwa barabara kilomita zaidi ya 3500 nchi nzima na kufanya nchi kuwa na kilomita 12,964.
Aliacha kilomita 2000 zikiendelea kujengwa, juzi mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.