Recent content by kiolesia

  1. K

    TANZIA Msanii Sajuki afariki dunia

    Kifo hiki kimeniumiza sana. Lakini pia ndoa ya Sajuki Na wastara ni mfano mzuri sana wa kuigwa na kila mtu anayemjua Mungu. Vijana hawa walini- inspire sana kwa jinsi walivyoishi maisha yao ya ndoa. Ilikuwa ni ndoa yenye upendo na uvumilivu wa kweli. Vijana na haswa wasanii jaribuni kuiga mfano...
  2. K

    Uchumba wa Jaquiline Wolper wavunjika. Waliouvunjwa waanikwa

    Umbeya utawaua. Mambo ya watu na wachumba/waume zao yanawahusu nini? Poleni kwa kukosa kazi!!!
  3. K

    NIMEOKOTA laptop

    Wema wote ulioutenda kwa kuwa mwaminifu, umeuchafua kwa kuwakashifu WANAWAKE wa JF. Kwa maana nyingine kwako wewe JF ni sehemu ya wanawake wazinzi. Umewadhalilisha sana, omba msamaha kwani wengine humu ni Mama zako.
  4. K

    NIMEOKOTA laptop

    Bujibuji, you are so honest. Lakini, umeokota? au imesahaulika kwenye gari yako? Hata hivyo hongera kwa kuwa mwaminifu.
  5. K

    PPF yamfukuza kinara wa kuomba rushwa

    Kila anayemdhulumu mtoto, mjane na mzee haki yake atalipwa kwa ubya wake hapa hapa duniani. Bi Gisela ulifanya kitu kibaya sana na malipo yako utayapata hapa hapa.
  6. K

    Kinondoni mabomu yanarindima na helicopter juu inazunguka...

    Tupendane Wandugu, Mungu ni mmoja.
Back
Top Bottom