Recent content by kiogwe

  1. K

    GE2025 Polepole: Haipendezi kwenye mchakato wa Ubunge ni Watu wa Familia za Viongozi

    John Heche "Kuna kikundi kidogo cha watu ndo kinaongoza" malamiko ya.ekuwa mengi kuhusu hicho kikundi jamani kisije kikatuingiza pabayq.
  2. K

    Unakosea, Unakosea na nasema tena Unakosea wenye Akili hawashindani na 'System' Kibwege (Kipumbavu) hivi..shauri yako!!

    Sijaelewa?Amekosea kusema kuna watu wanatekwa au ksema kuna watu wanauawa na hakuna hatua zozte zinachukuliwa.? Chakujadili hapa ni je anachosema ni kweli au upotoshaji?
  3. K

    Yanga hajashindwa kesi CAS dhidi ya TFF, Bodi ya ligi na Simba sc

    Mimi ni Yanga Lillian ila mwanasheria hakuna hapo. Timu kama Yanga kwa nini isikodishe kampuni kubwa za kisheria au kama pesa hakuna watumie wanasheria kama Kibatala,Lisu,Mwabukusi,Malya au ha Rugemeleza. Walipanga kufeli
  4. K

    PreGE2025 Askofu mkuu Ruwa'ichi: Tutende Haki Katika Uchaguzi. Tuachane na Uzalendo Uchwara

    Viongozi wa Afrika wanqshindwa kuwa wafanyakazi wa wapiga kura badala yake wanakuwa maboss. Kodi zawananchi zinapofanya kazi wanasema Raisi kafanya. Haya mambo sio Mambo ni uhaini. Ndio maana Tamph anasema Africa inabidi itawaliwe upya.
  5. K

    Kuna jamaa hapa mtaani anashinda ndani asubuhi mpaka usiku ila anakula na kuvaa vizuri kazi yake haijulikani

    Kula vizuri na kuvaa vizuri fafa us. Yaani chakula bora au king ina kuvaa vizuri yaani halegezi surusli au unavailable juu ya tumbo?
  6. K

    Uchambuzi wa Kisheria juu ya Hati ya Mashtaka ya Uhaini dhidi ya Tundu Lissu

    Ni nini maana ya Kiapo cha utii? Na ni nani hao wenye viapo vya utii? Samahani naomba ufafanuzi
  7. K

    Nafasi ya Makamu wa Rais wa Tanzania ni ipi, Kwanini Rais wa Zanzibar awe Msaidizi wa Rais Samia?

    Raisi kwa maelezo yako anaweza hata darasa la saba awe jurge.? Mgambo awe mkuu wa majeshi Dr awe CAG
  8. K

    Marekani yaikamata ndege ya Rais Maduro wa Venezuela

    Dunia lazima iwe na Kiranja Mkuu; Marekeni ndo Kiranja wa Dunia,Ulaya was ni viranja wadogo wadogo.
  9. K

    Mch. Msigwa: Nikihamia CCM, wananchi chomeni moto nyumba na magari yangu

    Akili ndogo ikiongoza akili kubwa haya ndo madhara hizo ni baadhi ya kauli zake kwamba CCM ni akili ndogo je unajua kauli zake zing in?
  10. K

    Wanaharakati wanaotetea makahaba, wataanza kutetea na mashoga kwa kigezo cha faragha, tuwapinge kwa nguvu zote

    Ushoga na ukahaba ni vitu tofauti Kahaba anafanya mapenzi biashara shoga anafanya mapenzi kinyume na maumbile huwezi kuzuia ukahaba kwa kudhalilisha wanawake
  11. K

    Siyo kwa ubaya, nauliza tu: Gari la Lissu halitengenezeki? Je, halikuwa na bima kubwa?

    Raisi anajengewa nyumba yenye hadhi ya Ikulu mshahara wa hadhi ya Raisi alieko madarakani kwa kodi za wananchi masikini huoni! Unaongelea kwa hiari yao watu wametoa kwa mpendwa wao bila shuruti
  12. K

    Nape Nnauye: Hatukuwakatalia Starlink kufanya kazi Nchini, walikwama wenyewe

    Tanzania ni binadamu sawa na nchi nyingine? Au sisi ni Taifa so exseptional kiasi kwamba internate tuu masharti kibao. Mbona Starlink wapo sehemu nyingi tuu. Tena zilizoendele na zinazotupa misaada
  13. K

    Tundu Lissu aendelea kushambuliwa mitaani kwa kauli zake za kibaguzi na chuki

    Mtoa Mada umetuangusha maneno mengi hakuna hata moja umeandika linaendana na maandishi yako Lisu mpaguzi ainisha na sisi tujue
  14. K

    Vyama 11 vya Siasa vyalaani kauli za Tundu Lissu

    Huenda kweli Lisu ni mbaguzi je hoja zake nazo? Mtanganyika anaweza kuwa waziri Serikali ya Zanzibar je kuna kitambulisho cha mkazi ambacho kama huna hupewi Ardhi. Wabunge 80 wa Zanzibar kwenye bunge la muungano na hakuna mbunge waTanganyika hata mmoja bunge la wawakilishi ukitoa TV Dae kwenda...
  15. K

    Zitto Kabwe: Tanzania Bara (Tanganyika) inachukua 98% ya Mapato yote ya Muungano, Zanzibar inaambulia 2% tu

    Japo ni uongo na hata kama ingekuwa kweli kwenye alimia 100 ya hayo mapato Zanzibar inachangia shilingi ngapi?
Back
Top Bottom