Unajuliza maswali unajijibu kwani hujui kazi ya mbunge?soma katiba hata kidogo ili ujue kazi za mbunge.Anatatueje migogoro ya ardhi yeye ni Wizara ya Ardhi
Katiba Ina mapungufu ila kwa hili la Uraisi iko wazi kabisa kuwa endapo itatokea Raisi kushindwa kumiliki ofisi kwa ugonjwa kifo au Sababu yeyote Makamu ndiye anachukua
Mtoa post sijakuelewa vizuri japo nahisi una hoja. Vigezo umesema ni angalau viti 40000 na Mkapa kuna viti zaidi ya 50000 na bado Tanzania hatuwezi kuandaa ufunguzi? Arusha ndo uongezwe ili uwe na hivyo Vigezo Mkapa tayari unavyo
Tanganyika kamwe haiwezi kufa hata kama kutakuwa na kitu kisichokuwepo kinachoitwa uhuru wa Tanzania Bara bado Tanganyika lilikuwa koloni la mjerumani na chini ya uangalizi wa Umoja wa mataifa kupitia Malikia.
Waislamu hawaagi mwili. Huyo ni kiongozi wa kiseclar alikuwa kiapo cha utii wa katiba na sheria so yeye ni mali ya Uma. Ukifanya kazi za Uma dini au dhehebu havina nafasI Mungu ailaze mahali pema peponi RIP
Kama ni kweli zimeungana Tanganyika na Zanzibar na ni kweli Tanganyika imekufa Zanzibar inakuwaje hai? Nyerere ni Genius lengo lilikuwa kuelekea nchi moja muda haukutosha sasa ndo mana zimeungana Tanga nyika na Zanzibar na Bado tuna Tanzania na zanzibar
Hivi waziri wa mchezo au Raisi wa TFF anaweza kutoa au kuwelekeza yakucheza mchezaji uwanjani jinsi ya kucheza. Mamlaka iliyomwanzisha kwenye first 11 yaani kocha ndo itakayomfanyia sub. Bashe yuko sawa
Elimu maana yake ni nini? Serikali ilisema haina haja(nia) yakuendelea na kesi. wote tulifuatilia ushahidi wa ugaidi ambao ni kukata miti,kuweka magogo,kutuma pesa kwenye simu na mashahidi ambao hata shule waliyosoma hawamjui mwalimu mkuu au hata calassmate mmoja. unaposema Mbowe kasamehewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.