Siyo kweli. Unaweza kufanya shoo home na nje ukalipwa vizuri. Kwani hao mapromota wa nje hawajui kama una kwenu? Unataka kusema Diamond katookea wapi mpaka kupata shoo za nje? S Mwembe Yanga hiyohiyo!
mbona shigongo ana hoja ya msingi sana tena ni ushauri kama kaka kwa mdogo wake. Povu la Babu Tale lilitokana na nini hapo? au anahisi kibarua chake hatarini!?
huna hoja ya msingi. nadhani ungesoma ushauri wa shigingo kwanza ndipo utoe maoni. haya maoni yako hayana tofauti na watoa maoni ya wakati wa kampeni ya uchaguzi mkuu wa 2015. tatizo wabongo mihemko mingi kuliko kutafiti.
mimi sijaona hoja ya babu tale. na kama meneja wa msanii mkubwa anaweza kutoa madai haya ya kikazi kwenye mitandao kuna tatizo kubwa kwa mameneja wa wasanii wetu. ndiyo maana muziki wa Bongo uko levo moja miaka na miaka
ldddmmmmtttatizo wabongo si waelewa hata kidogo. mada ya shigongo ni kuemwelekeza diamond, sasa babu tale kinachomtoa povu ni nini? ukwlei umemuuma? hawasa wasanii wetu wakiwa wanatafuta kutoka wanauitaga shigongo 'broo' wakishafanikiwa wanamwona kama anawachafua. kama si magaeti ya shigongo...
serikali ina uwezo wa kuingilia kati suala hili dr masau akaendelea na kazi ya kuwatibu walalahoi kwa sababu nssf ni yake. kusema kwamba masau anafanya biashara na nssf inafanya biashara si kigezo cha kumfilisi kwani uamuzi wake wa kuwekeza bongo ilikuwa nafuu kwa hiyo hiyoo serikali. da! pole...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.