Recent content by Kinoamiguu

  1. Kinoamiguu

    Serikali chukueni hatua za haraka dhidi ya Nabii Dominiki "Kiboko ya Wachawi"

    Acha kidogo wapigwe bhana . Ukinga ni pale unapoamini kwamba yupo binaadamu wa kuweza kukuombea kwa mungu kwann usijiombee mwenyewe
  2. Kinoamiguu

    Malengo ya Mbio za Mwenge yabadilishwa, Sasa hivi wanauzungusha tu na kufanya Matamasha

    Hahaha. Mwenge wa uhuru hauna maana tena. Ni Ama tuuzime au turejee maandiko yake? Nani anaweza kuyaghani maandiko ya mwenge wa UHURU hadhaŕani hapo LUMUMBA? Dodoma bungeni au chamwino? Kizimkazi je wanaweza kughani maandiko
  3. Kinoamiguu

    Mkosoaji wa Serikali ‘aliyetekwa’ siku 5 zilizopita Mbeya apatikana Igunga

    Miakwara mbuzi hiyo. Kwani mkosoaji anatakiwa kuwa na degree ngapi za chuo kikuu?
  4. Kinoamiguu

    Amos Makalla: Sisi tunatatua kero Kisayansi, hatupigi kelele

    Unajua maana ya sayansi??
  5. Kinoamiguu

    Amos Makalla: Sisi tunatatua kero Kisayansi, hatupigi kelele

    Nikamuulize kwani mmi siyaoni? Mm swishing marekani naishi kijijini Tanzania hapa. Sihitaji kuangalia taarifa ili nijue haya ni maigizo? Unaingia mkutanoni kwa baiskeli kisha ukiondoka v8 100 zinakufuata? Seriously? Kama siyo kuwacheka wqpanda baiskeli nnn bas?
  6. Kinoamiguu

    Amos Makalla: Sisi tunatatua kero Kisayansi, hatupigi kelele

    Tanzania kuna watto wangapi ambao hawaendi shule ? Kuna watu wangapi hawana bima na nyumba? Kumsaidia kama kweli mmoja huko kigoma ndiyo kujua siasa ? Tangu lini serikali ikashughulikia. Matatizo ya mtu mmoja mmoja Kuna sehemu alimtaja MAKONDA? au kachelewa kurudi tu leo umemmis makonda wako...
  7. Kinoamiguu

    Nilikuwa mbishi lakini nimekubali Iran ndiyo mbabe wa Middle East na Dunia kwa ujuma, hakuna cha USA, China wala Russia

    Soma vizuri theories za vita. Kwenye vita yyte majeruhi wa kwanza ni UKWELI. Tafuta ukweli member mwenzangu
  8. Kinoamiguu

    Kwenu TISS, Napinga tukio alilofanya huyu askali wenu, wala siyo weledi na heshima

    Hao TISSI wenyewe hata watu wakidaiana wao ndo hutumiwa kutisha wanaodaiana??? Ati TISS kabisa anamkoromea mtu aliyekopeshana pesa na mwenzie bar naye anajitambulisha? Mm ni TISS nafanya kazi hapo MAKUMBUSHO ni mwenyeji sana pale. Hao TISS au vibaka??
  9. Kinoamiguu

    Nini kimefanya bunge lipoteze mvuto?

    Tumsikilize WAITARA akilia machozi?
  10. Kinoamiguu

    Amos Makalla: Sisi tunatatua kero Kisayansi, hatupigi kelele

    Hamsimangi anaongea ukweli. Kumbuka makonda akiwa msemaji yeye alikuwa RC anajua kilichokuwa kinaendelea kwenye ule ujinga wa makonda.
  11. Kinoamiguu

    Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

    Jana ilikuwa jumatatu leo jumanne. Yule bwana wa kuombewa ombewa hajamaliza tu awataje wanaomtukana raisi???
  12. Kinoamiguu

    Amos Makalla: Sisi tunatatua kero Kisayansi, hatupigi kelele

    Unajua serikali inavyofanya kazi lakini? Hembu taja kero 10 ambazo makonda alifanikiwa kuzitatua na sasa hazipo tena. Anza na ile ya kuahidi kutoa matrekta ili barabara za kawe zitengenezwe Twende kazi
Back
Top Bottom