Mbunge ccm
Diwani ccm
Ded ccm
Kamanda wa pccb ccm
DC ccm
Das ccm
Wakuu wa idara ccm
RAis ccm
Vp ccm
Pm ccm huyu anapokea rushwa cash kwenye sandarusi
Ccm wote ni wezi tu hakuna aliyemsafi pale
Niliwahi kushuhudia halmashauri Moja ikiwahonga watumiishi wa CA G Ili wapewe hati safi. Kweli bwana...
Aliye sababisha tatizo hawezi kutatua tatizo.
Huyu bibi na ccm yake ndiyo waliouwa watu hapo October 29 ndo huyo aliyeunda tume.
Mtu anawezaje kuwa jaji kwenye kesi yake mwenyewe
Aliyekuroga wewe kafa . Pungani wewe.
Raisi huyu aliyeua Watu wasiokuwa na hatia hapo October 29 unapata wapi ushujaa wa kumsifia?
Kuuwa
Kuteka
Kutesa
Wizi wa Mali za umma
Kukopa Kila siku
huyu bibi anatupigia makelele tu. tena baada ya kuwauwa ndugu, jamaa na marafiki zetu hapo october 29
hivi inahitaji trilioni ngapi ili hiyo mifumo isomane?
kila mwaka mifumo haisomani sijui ujinga gani?
mbona usiache kununua magari ya kifahari ili hiyo mifumo isomane?
una IGP anayeweza kukamata...
Yaani aliyepiga watu risasi za moto ameunda tume Ili imchunguze? Wewe uliona wapi?
Aliyekuwa wazir wa ulinzi ambapo kesho lilishiriki kuua watu naye ni mjumbe wa tume.
Ikumbukwe raisi akiunda tume Kila mara hupewa maendeleo ya tume.
Sasa huyu raisi muuaji angekubali kusoma kitu kinachomkosoa kweli?
Yaani aliyepiga watu risasi za moto ameunda tume Ili imchunguze? Wewe uliona wapi?
Aliyekuwa wazir wa ulinzi ambapo kesho lilishiriki kuua watu naye ni mjumbe wa tume.
Ikumbukwe raisi akiunda tume Kila mara hupewa maendeleo ya tume.
Sasa huyu raisi muuaji angekubali kusoma kitu kinachomkosoa kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.