Kuuliza ni vichekesho siku hizi?
Nauliza kwa sababu uliyaunga mkono maandamano Yale wewe na kina mchange muandaaji.
Unaikumbuka slogan ya chadema tec?
Itakuwa wewe ni mpumbavu unaowawakilisha machawa wenzio hapo lumumba
Mliuwa watu hapo October 29 Sasa mnabaki kutapatapa?
Yaani thamani ya damu...
Kwanini kizimkazi?
Huko Samia anakwenda kwenye ulozi.
Mganga wake ni mkubwa chamani hapo kwa wadigo wale wanaopeana talaka kama kuku.
Huyo mnene ni mume wa mwakilisho wa mlozi ngazi ya mkoa na ndiye mganga wake.
Kila raisi ana kwao atokapo, kama Kila mtu angeanzisha festival kwao Leo zingekuwa...
Vipi Ile barua ya papa ilishajibiwa ndugu msemaji wa wajinga na wezi hapo lumumba?
Vipi wale wakatoriki fake waliojichubua walisharudi Toka ubalozini ?
Watumishi wa serikali ni kikundi Cha watu wasiojielewa. Embu fikiria mtu na akili yake anakesha kwenye mwenge? Kisa anamuogopa afisa utumishi ambaye ana elimu kama yy au hata kumzidi?
Fikiria mtu anaingia na kura fake zilizopigwa na kuzisokomeza kwenye masanduku Ili ccm ishinde baada ya uchaguzi...
Kabudi anaizungumzia mungu yupo? (Labda mungu wa kizimkazi mana ndiye katili kuliko wote hapa nchini)
Mtu anaamuru watu wauwawe Kisha yeye huyo anataka maridhiano?
Anawalaumu waliomshauri kabla ya mauaji?
Kutoka masijala bayana Hadi ikulu imejiridhihirisha
Yerico na kale katoto ka mbowe.
Wanasema Kuna watu wanafaidika kwa lisu kuwa ndani?
Hawasrmi kina nani walifaidika na mbowe freeman kuwa ndani kwa kesi ya ugaidi?
Wanajamvi habar kwenu?
Nimetafakari kwa mujibu wa ufuatiliaji wangu dhidi ya kesi hii ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa chama Cha demokrasia na maendeleo chadema. Nilichogundua wote waliokwisha kutoa ushahidi wote ni mapolisi na bodaboda na bajaji?
Pia hakuna mwanamke yeyote mpaka Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.