Recent content by Kinoamiguu

  1. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Pombe ni dhambi, acha kuitumia

    Mungu anasemaje kuhusu raisi aliyeuwa watu hapo October 29 Kisha Leo anaimba maridhiano?
  2. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Malisa: Wakili Madeleka amekamatwa na watu waliojitambulisha ni polisi

    Wameshafingwa mafisadi wangapi mpaka Sasa? Hasa Yale majizi yanayotajwa Kila mwaka kwenye ripoti ya CAG ambayo yamejazana pale lumumba?
  3. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Majibu Yangu Kwa Baraza La Maaskofu Katoliki TEC Na Padre Charles Kitima Juu Ya Hoja Ya Kuombana Msamaha kwa kile kilichotokea Uchaguzi Uliopita

    Kuuliza ni vichekesho siku hizi? Nauliza kwa sababu uliyaunga mkono maandamano Yale wewe na kina mchange muandaaji. Unaikumbuka slogan ya chadema tec? Itakuwa wewe ni mpumbavu unaowawakilisha machawa wenzio hapo lumumba Mliuwa watu hapo October 29 Sasa mnabaki kutapatapa? Yaani thamani ya damu...
  4. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima: Bado hatujamsikia Rais akisema neno 'Samahani' kwa yaliyotokea

    Kwanini kizimkazi? Huko Samia anakwenda kwenye ulozi. Mganga wake ni mkubwa chamani hapo kwa wadigo wale wanaopeana talaka kama kuku. Huyo mnene ni mume wa mwakilisho wa mlozi ngazi ya mkoa na ndiye mganga wake. Kila raisi ana kwao atokapo, kama Kila mtu angeanzisha festival kwao Leo zingekuwa...
  5. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Majibu Yangu Kwa Baraza La Maaskofu Katoliki TEC Na Padre Charles Kitima Juu Ya Hoja Ya Kuombana Msamaha kwa kile kilichotokea Uchaguzi Uliopita

    Vipi Ile barua ya papa ilishajibiwa ndugu msemaji wa wajinga na wezi hapo lumumba? Vipi wale wakatoriki fake waliojichubua walisharudi Toka ubalozini ?
  6. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Ingredients of treason in Tanzania: Je Lissu katenda yapi/lipi kati ya haya

    Watumishi wa serikali ni kikundi Cha watu wasiojielewa. Embu fikiria mtu na akili yake anakesha kwenye mwenge? Kisa anamuogopa afisa utumishi ambaye ana elimu kama yy au hata kumzidi? Fikiria mtu anaingia na kura fake zilizopigwa na kuzisokomeza kwenye masanduku Ili ccm ishinde baada ya uchaguzi...
  7. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Kabudi: Mungu akishawapa kiongozi, mumpende mumheshimu, hakujileta mwenyewe

    Kabudi anaizungumzia mungu yupo? (Labda mungu wa kizimkazi mana ndiye katili kuliko wote hapa nchini) Mtu anaamuru watu wauwawe Kisha yeye huyo anataka maridhiano? Anawalaumu waliomshauri kabla ya mauaji? Kutoka masijala bayana Hadi ikulu imejiridhihirisha
  8. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Malisa: Wakili Madeleka amekamatwa na watu waliojitambulisha ni polisi

    Mpumbavu wewe ndo mana una tupostia mi mavi Yako humu ulivyokuwa mjinga
  9. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Malisa: Wakili Madeleka amekamatwa na watu waliojitambulisha ni polisi

    Mahakama ya wahujumu uchumi IPO mikocheni? Na wewe ni miiongoni mwa waliomkamata?
  10. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Pombe ni dhambi, acha kuitumia

    Kuna ambao hawanywi kabisa lakini wamewaweka wanaume wenziwe kinyumba yani wanawageuza wake zao. Sema jambo hapo
  11. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Yericko Nyerere alia na unafiki wa Prof. Anna Tibaijuka

    Yerico na kale katoto ka mbowe. Wanasema Kuna watu wanafaidika kwa lisu kuwa ndani? Hawasrmi kina nani walifaidika na mbowe freeman kuwa ndani kwa kesi ya ugaidi?
  12. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Kesi ya lisu kwann mashahidi wote ni wanaume na wengi ni mapolisi??

    Kwamba walioshihudia lisu akipanga uhaini ni mapolisi tu? Tena wa central? How
  13. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Kesi ya lisu kwann mashahidi wote ni wanaume na wengi ni mapolisi??

    Wanajamvi habar kwenu? Nimetafakari kwa mujibu wa ufuatiliaji wangu dhidi ya kesi hii ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa chama Cha demokrasia na maendeleo chadema. Nilichogundua wote waliokwisha kutoa ushahidi wote ni mapolisi na bodaboda na bajaji? Pia hakuna mwanamke yeyote mpaka Sasa...
  14. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania KERO Mkataba wetu na Kampuni ya EROLINK umeisha, tumebaini hatujaingiziwa stahiki za NSSF, tumefuatilia hadi tunachoka

    Mlikuwa hampewi salary sleep? Au ndo mishahara ya kutuwa kwa simu
Back
Top Bottom