Hahaha. Mwenge wa uhuru hauna maana tena. Ni Ama tuuzime au turejee maandiko yake? Nani anaweza kuyaghani maandiko ya mwenge wa UHURU hadhaŕani hapo LUMUMBA? Dodoma bungeni au chamwino? Kizimkazi je wanaweza kughani maandiko
Nikamuulize kwani mmi siyaoni? Mm swishing marekani naishi kijijini Tanzania hapa. Sihitaji kuangalia taarifa ili nijue haya ni maigizo? Unaingia mkutanoni kwa baiskeli kisha ukiondoka v8 100 zinakufuata? Seriously? Kama siyo kuwacheka wqpanda baiskeli nnn bas?
Tanzania kuna watto wangapi ambao hawaendi shule ? Kuna watu wangapi hawana bima na nyumba?
Kumsaidia kama kweli mmoja huko kigoma ndiyo kujua siasa ? Tangu lini serikali ikashughulikia. Matatizo ya mtu mmoja mmoja
Kuna sehemu alimtaja MAKONDA? au kachelewa kurudi tu leo umemmis makonda wako...
Hao TISSI wenyewe hata watu wakidaiana wao ndo hutumiwa kutisha wanaodaiana???
Ati TISS kabisa anamkoromea mtu aliyekopeshana pesa na mwenzie bar naye anajitambulisha? Mm ni TISS nafanya kazi hapo MAKUMBUSHO ni mwenyeji sana pale.
Hao TISS au vibaka??
Unajua serikali inavyofanya kazi lakini?
Hembu taja kero 10 ambazo makonda alifanikiwa kuzitatua na sasa hazipo tena. Anza na ile ya kuahidi kutoa matrekta ili barabara za kawe zitengenezwe
Twende kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.