Recent content by Kinoamiguu

  1. Kinoamiguu

    Wananchi wapuuza Ripoti ya CAG, Wadai zaidi ya porojo haina Tija yoyote, Wote wanaobainika kufanya ufisadi hawajawahi kuchukuliwa hatua yoyote

    Kwakuwa ni business as usual Mnasubiri uchaguzi ufike muibe kur Kisha muue watu. Kisha muunde tume
  2. Kinoamiguu

    Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Andika unavyojua ila ccm ni wezi Na Ile report ya CAG je unailinganisha na ipi?
  3. Kinoamiguu

    Vijana waimba Mapambio ya Serikali humu ndani; Je, na nyie ni wanufaika na huu upigaji wa Riport ya CAG?

    Mbunge ccm Diwani ccm Ded ccm Kamanda wa pccb ccm DC ccm Das ccm Wakuu wa idara ccm RAis ccm Vp ccm Pm ccm huyu anapokea rushwa cash kwenye sandarusi Ccm wote ni wezi tu hakuna aliyemsafi pale Niliwahi kushuhudia halmashauri Moja ikiwahonga watumiishi wa CA G Ili wapewe hati safi. Kweli bwana...
  4. Kinoamiguu

    🚨 CC: Mwenyekiti, Mheshimiwa Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman.

    Aliye sababisha tatizo hawezi kutatua tatizo. Huyu bibi na ccm yake ndiyo waliouwa watu hapo October 29 ndo huyo aliyeunda tume. Mtu anawezaje kuwa jaji kwenye kesi yake mwenyewe
  5. Kinoamiguu

    Rais Samia afanya mazungumzo mazito na Balozi wa Italia

    Aliyekuroga wewe kafa . Pungani wewe. Raisi huyu aliyeua Watu wasiokuwa na hatia hapo October 29 unapata wapi ushujaa wa kumsifia? Kuuwa Kuteka Kutesa Wizi wa Mali za umma Kukopa Kila siku
  6. Kinoamiguu

    DC Sixtus Mapunda: Wananchi wananiambia hawataki kwenda Polisi, bora niwapeleke TAKUKURU kwa kuwa kuna haki

    alikuwa hajui? HAKI, HAKI, HAKI, HAKI. Pale central dhamana inauzwa yani. kila mmoja hata yule muuaji wa pale magogoni anajua lakini waapi
  7. Kinoamiguu

    Rais Samia: Kuna changamoto mifumo ya Serikali kutosomana kikamilifu

    huyu bibi anatupigia makelele tu. tena baada ya kuwauwa ndugu, jamaa na marafiki zetu hapo october 29 hivi inahitaji trilioni ngapi ili hiyo mifumo isomane? kila mwaka mifumo haisomani sijui ujinga gani? mbona usiache kununua magari ya kifahari ili hiyo mifumo isomane? una IGP anayeweza kukamata...
  8. Kinoamiguu

    Ripoti ya Jaji Chande: Mwanzo wa mwanga wa siasa mpya au mwendelezo wa giza la sintofahamu?

    Yaani aliyepiga watu risasi za moto ameunda tume Ili imchunguze? Wewe uliona wapi? Aliyekuwa wazir wa ulinzi ambapo kesho lilishiriki kuua watu naye ni mjumbe wa tume. Ikumbukwe raisi akiunda tume Kila mara hupewa maendeleo ya tume. Sasa huyu raisi muuaji angekubali kusoma kitu kinachomkosoa kweli?
  9. Kinoamiguu

    Ripoti ya Jaji Chande: Mwanzo wa mwanga wa siasa mpya au mwendelezo wa giza la sintofahamu?

    Yaani aliyepiga watu risasi za moto ameunda tume Ili imchunguze? Wewe uliona wapi? Aliyekuwa wazir wa ulinzi ambapo kesho lilishiriki kuua watu naye ni mjumbe wa tume. Ikumbukwe raisi akiunda tume Kila mara hupewa maendeleo ya tume. Sasa huyu raisi muuaji angekubali kusoma kitu kinachomkosoa kweli?
  10. Kinoamiguu

    Rais Samia: Kuna changamoto mifumo ya Serikali kutosomana kikamilifu

    Tatizo ni raisi mwenyewe it seems Hana dead line kwenye utendaji wake. Hopeless kabisa huyu muaji
  11. Kinoamiguu

    Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Niwe na chuki na mafisadi
Back
Top Bottom