Katika hali ya kushangaza kabisa unatoa matamko ambayo yanashangaza na kusikitisha sana.
Mufti unataka viongozi wasikae kimya raisi akitunwa ila husemi katunwa na nani?
Mufti unataka viongozi wote wa dini wachukue hatua kwa wanao mtu kama raisi bila kusema ni hatua gan
Mufti huoni madhara ya...
Beberu ni nani? Hili neno umelijulia hapa jf? Watoto wa viongozi wote wa ccm wapo ulaya wanasoma shule nzuri wewe wanao wapo manzese unashupaza shingo kwa watoto wa lisu. Pumbavu na nusu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.