Zamani ilikua wazanzibar weliowengi wakijinasibu wao ni wazanzibar, lkn siku za hivi karibuni, wao ndo wamekua mstari wa mbele kujinasibu wao ni wa Tanzania, jambo ambalo mwanzo hawakuona kama ni fahari kuitwa hivyo. Kuna nini?
S
Sio huko tu, miaka hii kila biashara faida ni ndogo sana, kikubwa kuhakikisha kukimbizana na mzunguko tu. Kwa mfano bati gage 32 unainunua hadi inakufikia dukani 17300. Afu unaiuza 18000, faida sh 700. Ktk mtaji wa 17300.
Sio suala la gharama, bali watanzania ujamaa umewaharibu. Kama suala la haki za msingi za kupata Habari, si kunachanel za bure amewaachia! Ikiwemo tbc itv na ya mziki eatv na ya wanyama safari tv mnataka nini zaidi? Sula la mpira siku hizi ni suala la ki biashara na meona anatia mabilioni ya...
Habari.
Naomba ushauri kwa mwenye uzoefu wa biashara ya hadwere, nina mtaji wa 20, m nahitaji kuanza biashara hiyo. Naomba mchanganuo wake, namna ya kubalance ili itoshe.
Natamani nianze na cement, mbao, bati, na vitu nyengine vidogo vidogo vya dukani. Biashara nataka kufungulia mikoa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.